Inapangishwa ipo Mlimani city

Inapangishwa ipo Mlimani city

TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Nyumba inapangishwa ipo Mlimani City mkono wa kushoto wa jengo
A NSSF,
Ina sebule, vyumba 3 viwili mastar, public toilet, jiko, A/c sebuleni na vyumbani, Parking gari 4, Mazingira safi na salama, Ni ful tiles, gpsum na slid window. Kodi tsh 800,000/= kwa mwezi. Kodi ya mwaka mpaka miezi 10

Laki 8 kwa mwaka una inunua !?
nyumba mbaya, madirisha mabaya!
 
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Nyumba inapangishwa ipo Mlimani City mkono wa kushoto wa jengo
A NSSF,
Ina sebule, vyumba 3 viwili mastar, public toilet, jiko, A/c sebuleni na vyumbani, Parking gari 4, Mazingira safi na salama, Ni ful tiles, gpsum na slid window. Kodi tsh 800,000/= kwa mwezi. Kodi ya mwaka mpaka miezi 10

.......... nyumba ina onyesha ni fupi (from the floor to ceiling ) na Tiles zoote ni mchina tena choice ni mbaya !

Why Laki 8 !?? :confused2:
 
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Nyumba inapangishwa ipo Mlimani City mkono wa kushoto wa jengo
A NSSF,
Ina sebule, vyumba 3 viwili mastar, public toilet, jiko, A/c sebuleni na vyumbani, Parking gari 4, Mazingira safi na salama, Ni ful tiles, gpsum na slid window. Kodi tsh 800,000/= kwa mwezi. Kodi ya mwaka mpaka miezi 10

Hapo kwenye red!! Kuna tofauti kati ya Self contained room na Master Bedroom! Chumba kuwa selfcontained tu hakikifanyi kiwe master bedroom! Nyumba inakuwaje na Master bedrooms mbili? Unless the master himself ana wake wawili:teeth::teeth::teeth::teeth:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom