Inaonekana Waziri Mkuu Majaliwa hakubaliani na suala la Mkataba wa Bandari

NANCA

Member
Jun 23, 2023
92
100
Yaani kwa uteuzi wa naibu waziri mkuu inaonesha kua waziri mkuu amepwaya hvyo anahitaji msaidizi. Sasa swali langu ni je kupwaya huko ni kutokana na majukumu kua mengi?

Ni je kutokana na ufanisi wa waziri mkuu kushuka? Au je waziri mkuu amekua mzembe? Au shida ni nini hadi mkuu ameamua kumuongezea nguvu? Jibu langu mimi ni kua ata ngekua mimi waziri mkuu nsingekubali kuendeshwa, nsingekubali kutengwa na nsingekubali wenzetu wa upande mwingine wakatiliane mikataba ya kubinafsisha bandari zetu zetu nchini bila sisi wenyewe kuwepo.

Ningekua kisirani, ngechukia na nsingeonesha ushirikiano na mimi jinsi nlivyo ngeongea hadharani na ngejiuzulu na ningegombea urais na ngeshinda na nigemuweka ndani yule alieuza mali zetu kwa hila.

BIG UP MajaBoy wakubwa tunakuelewa na tunaelewa kinachotokea, kaza buti, 2025 kagombee ata kupitia CUF au NCCR au chama cha Ubwabwa na watanganyika tutakupigia kura haiwezekani mtu kutola kisiwa chenye watu milioni 1 atupeleke anavyotaka.
 
Uchongishi na uchochezi huu.Haina tofauti na kuwachotea mahasimu wawili mchanga na kuwaelekeza waupige chini ili waanze kutwangana.
 
Yaani kwa uteuzi wa naibu waziri mkuu inaonesha kua waziri mkuu amepwaya hvyo anahitaji msaidizi. Sasa swali langu ni je kupwaya huko ni kutokana na majukumu kua mengi? Ni je kutokana na ufanisi wa waziri mkuu kushuka? Au je waziri mkuu amekua mzembe? Au shida ni nini hadi mkuu ameamua kumuongezea nguvu? Jibu langu mimi ni kua ata ngekua mimi waziri mkuu nsingekubali kuendeshwa, nsingekubali kutengwa na nsingekubali wenzetu wa upande mwingine wakatiliane mikataba ya kubinafsisha bandari zetu zetu nchini bila sisi wenyewe kuwepo, ningekua kisirani, ngechukia na nsingeonesha ushirikiano na mimi jinsi nlivyo ngeongea hadharani na ngejiuzuru na ngegombea urais na ngeshinda na ngemweka ndani yule alieuza mali zetu kwa hira.
BIG UP MajaBoy wakubwa tunakuelewa na tunaelewa kinachotokea, kaza buti, 2025 kagombee ata kupitia CUF au NCCR au chama cha Ubwabwa na watanganyika tutakupigia kura haiwezekani mtu kutola kisiwa chenye watu milioni 1 atupeleke anavyotaka.
Mbona umeandika utafikiri cheo Cha majaliwa nikikubwa kuliko Rais.ungejua majaliwa anatamani aendelee kubaki hapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mi nahisi amefanya kimkakati sana. Ameona CHADEMA Wamewasha sana moto huko usukumani Hivyo anawahonga kacheo ka unaibu waziri mkuu ili aweze angalau kuwahadaa wampe kura jambo ambalo wasukuma wakikubali watakuwa walewale!!
 
Yaani kwa uteuzi wa naibu waziri mkuu inaonesha kua waziri mkuu amepwaya hvyo anahitaji msaidizi. Sasa swali langu ni je kupwaya huko ni kutokana na majukumu kua mengi?

Ni je kutokana na ufanisi wa waziri mkuu kushuka? Au je waziri mkuu amekua mzembe? Au shida ni nini hadi mkuu ameamua kumuongezea nguvu? Jibu langu mimi ni kua ata ngekua mimi waziri mkuu nsingekubali kuendeshwa, nsingekubali kutengwa na nsingekubali wenzetu wa upande mwingine wakatiliane mikataba ya kubinafsisha bandari zetu zetu nchini bila sisi wenyewe kuwepo.

Ningekua kisirani, ngechukia na nsingeonesha ushirikiano na mimi jinsi nlivyo ngeongea hadharani na ngejiuzulu na ningegombea urais na ngeshinda na nigemuweka ndani yule alieuza mali zetu kwa hila.

BIG UP MajaBoy wakubwa tunakuelewa na tunaelewa kinachotokea, kaza buti, 2025 kagombee ata kupitia CUF au NCCR au chama cha Ubwabwa na watanganyika tutakupigia kura haiwezekani mtu kutola kisiwa chenye watu milioni 1 atupeleke anavyotaka.
Kuna ka ukweli
 
Yaani kwa uteuzi wa naibu waziri mkuu inaonesha kua waziri mkuu amepwaya hvyo anahitaji msaidizi. Sasa swali langu ni je kupwaya huko ni kutokana na majukumu kua mengi?

Ni je kutokana na ufanisi wa waziri mkuu kushuka? Au je waziri mkuu amekua mzembe? Au shida ni nini hadi mkuu ameamua kumuongezea nguvu? Jibu langu mimi ni kua ata ngekua mimi waziri mkuu nsingekubali kuendeshwa, nsingekubali kutengwa na nsingekubali wenzetu wa upande mwingine wakatiliane mikataba ya kubinafsisha bandari zetu zetu nchini bila sisi wenyewe kuwepo.

Ningekua kisirani, ngechukia na nsingeonesha ushirikiano na mimi jinsi nlivyo ngeongea hadharani na ngejiuzulu na ningegombea urais na ngeshinda na nigemuweka ndani yule alieuza mali zetu kwa hila.

BIG UP MajaBoy wakubwa tunakuelewa na tunaelewa kinachotokea, kaza buti, 2025 kagombee ata kupitia CUF au NCCR au chama cha Ubwabwa na watanganyika tutakupigia kura haiwezekani mtu kutola kisiwa chenye watu milioni 1 atupeleke anavyotaka.
Ka-telephone sio msaliti kama Saa 100
 
Yaani kwa uteuzi wa naibu waziri mkuu inaonesha kua waziri mkuu amepwaya hvyo anahitaji msaidizi. Sasa swali langu ni je kupwaya huko ni kutokana na majukumu kua mengi?

Ni je kutokana na ufanisi wa waziri mkuu kushuka? Au je waziri mkuu amekua mzembe? Au shida ni nini hadi mkuu ameamua kumuongezea nguvu? Jibu langu mimi ni kua ata ngekua mimi waziri mkuu nsingekubali kuendeshwa, nsingekubali kutengwa na nsingekubali wenzetu wa upande mwingine wakatiliane mikataba ya kubinafsisha bandari zetu zetu nchini bila sisi wenyewe kuwepo.

Ningekua kisirani, ngechukia na nsingeonesha ushirikiano na mimi jinsi nlivyo ngeongea hadharani na ngejiuzulu na ningegombea urais na ngeshinda na nigemuweka ndani yule alieuza mali zetu kwa hila.

BIG UP MajaBoy wakubwa tunakuelewa na tunaelewa kinachotokea, kaza buti, 2025 kagombee ata kupitia CUF au NCCR au chama cha Ubwabwa na watanganyika tutakupigia kura haiwezekani mtu kutola kisiwa chenye watu milioni 1 atupeleke anavyotaka.
Lazima atakuwa hivyo kwa ushauri wa mkewe.Programu za muda mrefu za TEC oyee.
Kama ni hivyo aende tu.
Ataingia kwenye historia ya kutumia nafasi hiyo kwa muda mrefu zaidi chini ya maraisi watatu.Lakini mwishowe amepata ushauri mbovu na atamalizia vibaya.
 
Kwani mbona haters mnahangaika sana?!!!! Si mmelete uzi humu wa kusema TEC ni noma wamefanikiwa kuzima suala la bandari, sasa hapa mnaongea nini tena wakati dp world wameshaondoka?!!
 
Ajiunge na Umoja Party yeye na Polepole.

2025 Katelefone anamgalagaza Maza asubuhi na mapema trust me.
 
Back
Top Bottom