Inaniuma sana kila nikifikiria

Inaniuma sana kila nikifikiria

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,157
Reaction score
5,267
Mpenzi , honey, sweetie, baby, wife, mama watoto wako wa sasa alikuwa wa mwenzako zamani.
 
Inaniuma sana kila nikifikiria...

Demu wangu amepima amekutwa na ngoma....

Haya sasa wewe ni msanii nenda kalipe kwenye TV...
 
Hahahaha hii huwa inauma. Lakini ukijiangalia unakuta nawewe ulikuwa "wa mtu mwingine before"
 
ntafikiria mangapi katika dunia hii jamani? kuna vitu vingine unavipa mgongo tu!

serikali imenichomesha mahindi pale uwanja wa taifa, nimekwazika!

mpaka hapa napo eti napapatia muda wa ziada kufikiria who was who in my who?

aargh!... Let it go, the proverb says, I Cant hold it back.
 
Kata nanilihii usipate usumbufu na wivu kabisa
 
Ukicomplicate sana maisha huyaenjoy...amini nikikwambia hili....Jifunze kukubali matokeo...Somethings are just meant to happen for good or bad reasons...
 
wangu nilimwanza mwenyewe,kunazia akiwa mtoto mpaka akaanza kukua
 
Ukicomplicate sana maisha huyaenjoy...amini nikikwambia hili....Jifunze kukubali matokeo...Somethings are just meant to happen for good or bad reasons...
unakuta hata experience anayopewa amejifunza kwa mwingine ndo maana mapenzi yanadumu.
 
Back
Top Bottom