ukara JF-Expert Member Jun 28, 2014 285 168 Nov 29, 2014 #1 Kwanini wananchi waambiwe ugonjwa wa Rais wakati yuko nje ya nchi ili hali vyombo vya habari nchini vilitangaza kuwa Rais ana ziara nchini Marekani? Kulikoni? Ni mtazamo tu
Kwanini wananchi waambiwe ugonjwa wa Rais wakati yuko nje ya nchi ili hali vyombo vya habari nchini vilitangaza kuwa Rais ana ziara nchini Marekani? Kulikoni? Ni mtazamo tu
M Mtanzania Ril Member Mar 8, 2014 15 4 Nov 29, 2014 #2 Eti walificha.sijui walikuwa na maana gani.au ndo mambo yetu yale ya kiswahili,ukisafiri usiage.mkwereee!
Eti walificha.sijui walikuwa na maana gani.au ndo mambo yetu yale ya kiswahili,ukisafiri usiage.mkwereee!