Inakuwaje Rais anatoka CHADEMA na PM CCM?

Inakuwaje Rais anatoka CHADEMA na PM CCM?

Yodoki II

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
5,517
Reaction score
4,008
Kuna uwezekano mkubwa wa Lowasa kuibuka mshindi japo mwembamba.Ana mvuto usioelezeka msıngi wake ni nini na anapendwa sana.

Lakıni kuna nafasi ndogo ya UKAWA kupata wabunge na madiwani wa kutosha kuunda serikali na mabaraza ya halmashaurı.Kwa msingi Rais atatoka UKAWA lakini PM na ministers watatokana CCM.

Pia halmashauri nyingi bado inaonekana zitaongozwa na CCM.Najiulıza bila kupata jibu, ni nani atakuwa mpinzani?

Je ni kweli tutakuwa tumeiondoa CCM madarakani??
 
Siasa imekuwa mchezo, kama ambavyo CCM inavyofanya kuweka makada wake tu katika nafasi hizo hata kama hawana uwezo, the same dance will be played, UKAWA watawaweka UKAWA tu, ni bora kuacha nafasi wazi kuliko kuwaweka CCM.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa Lowasa kuibuka mshindi japo mwembamba.Ana mvuto usioelezeka msıngi wake ni nini na anapendwa sana.

Lakıni kuna nafasi ndogo ya UKAWA kupata wabunge na madiwani wa kutosha kuunda serikali na mabaraza ya halmashaurı.Kwa msingi Rais atatoka UKAWA lakini PM na ministers watatokana CCM.

Pia halmashauri nyingi bado inaonekana zitaongozwa na CCM.Najiulıza bila kupata jibu, ni nani atakuwa mpinzani?

Je ni kweli tutakuwa tumeiondoa CCM madarakani??







Time will tell, yaani hata Tundu Lissu asiwe Pm? maana jamaa ni uhakika kurudi Mjengoni
 
wabunge watakaoshinda ukawa wanatosha kabsa kuunda baraza la mawaziri mpaka chenji inabaki hlo ondoa hofu, kwa upande wa halmashauli zetu kwakua madiwani wa ccm weng n mambulula na sisi damu changa tuna elimu ya juu na tunagombea udiwani kupitia ukawa, basi tutatumia elimu yetu kuwaburuza mpaka wafate matakwa ya mh. lowassa, diwani atakayesumbua tunakwenda kuweka kambi katani kwake kushawishi wananch wampindue ambapo tukirudia uchaguz n dhahiri UKAWA watashinda, n mwendo huohuo mpk kieleweke
 
Naona mleta uzi umesahau kuwa wapinzani wanatakiwa kupata wabunge 140 tu ili kutoa waziri mkuu
 
Kuna uwezekano mkubwa wa Lowasa kuibuka mshindi japo mwembamba.Ana mvuto usioelezeka msıngi wake ni nini na anapendwa sana.

Lakıni kuna nafasi ndogo ya UKAWA kupata wabunge na madiwani wa kutosha kuunda serikali na mabaraza ya halmashaurı.Kwa msingi Rais atatoka UKAWA lakini PM na ministers watatokana CCM.

Pia halmashauri nyingi bado inaonekana zitaongozwa na CCM.Najiulıza bila kupata jibu, ni nani atakuwa mpinzani?

Je ni kweli tutakuwa tumeiondoa CCM madarakani??

Ili uweze kuunda serikali lazima uwe na atleast robo tatu ya wabunge so kilicho baki kwetu ni kuhakikisha inawezekana
 
siku sisiem ikianguka ikalala mlalo wa mende siwezi kuelezea furaha yangu. Jaman twendeni tukahakikishe taarifa zetu huko tulikojiandikisha.
 
Heheheh mmeanza kukubali kuwa Raisi atatoka UKAWA, ondoeni wasiwasi hata Wabunge watajaa tu maana Raisi atawahamasisha ili mabadiliko yatokee basi wabunge twahitaji wengi pia
 
CCM wasipoiba au kufanya hujuma ya aina yeyote Magufuli hafikishi 10% ya kura, akizidi sana 20%.
 
Huo uwezekano wa KIVULI CHA CCM kuwa rais haupo, hum mnajizuzuatu hamna cha ikulu itakayo kanyangwa na FISADI PAPA kama Rais labda kwenda kunywa juice na mtashangaa mlivyo zuzuka hum TEAM WAZALENDO
 
Kuna uwezekano mkubwa wa Lowasa kuibuka mshindi japo mwembamba.Ana mvuto usioelezeka msıngi wake ni nini na anapendwa sana.

Lakıni kuna nafasi ndogo ya UKAWA kupata wabunge na madiwani wa kutosha kuunda serikali na mabaraza ya halmashaurı.Kwa msingi Rais atatoka UKAWA lakini PM na ministers watatokana CCM.

Pia halmashauri nyingi bado inaonekana zitaongozwa na CCM.Najiulıza bila kupata jibu, ni nani atakuwa mpinzani?

Je ni kweli tutakuwa tumeiondoa CCM madarakani??
hapo pasiwe na chama 'mamlaka'!
 
CCM wasipoiba au kufanya hujuma ya aina yeyote Magufuli hafikishi 10% ya kura, akizidi sana 20%.

Jaribu kuwa realistic mkuu.Ushndi mwaka huu utatenganishwa na tofauti ya 1-5 % ya kura.Na bado survey inamweka mbele mgombea wa CCM(forget Magufuri)
 
Bavicha mwaka huu kufikia octoba mtaota sana ila ukiwa kwenda Ikulu ni sawa na sisimizi kummeza ngamia. Haitakaa itokee.
 
Naona mleta uzi umesahau kuwa wapinzani wanatakiwa kupata wabunge 140 tu ili kutoa waziri mkuu

Idadi ya wabunge wanayoihitaji UKAWA ili kuunda kuunda baraza la mawaziri ni 133 tu. Jumla ya wabunge wote wa JMT baada ya uchaguzi watakuwa 265, hivyo 133 ni zaidi ya nusu ya wabunge wote. Kwa hiyo UKAWA watakuwa na wabunge wengi kuliko ccm hivyo kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi muhimu bungeni.
 
Back
Top Bottom