mambo yamebadilika vitoto siku hiz ni virembo sana ,enzi zetu kulikuwa na wasichana wachache wenye staha lakin ilikuwa ngumu kuwapata nataman niludi ujanani nijaribu kuwatafuna tena ndio hivyo kabla hujamsemesha anakwambia babu shikamoo! Unaenda kujitazama kwenye kioo unakuta dah! Ni kweli