Inahitajika kazi

Inahitajika kazi

wakuchuja

Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
17
Reaction score
35
Habarini za mida wakuu? wacha niende moja kwa moja kwenye mada

Mimi ni kijana wa miaka 27 nimekuwa nikifanya ujasiriamali kwa mda biashara ndogo ndogo na ufundi(rangi)

Ila ninapitia kipindi kwa sasa nimejikuta nakula hiki kimtaji changu kidogo nina familia ya watoto wawili na mke sina nimepanga nadaiwa kodi chakula jaman naombeni mnisaidie ndugu zangu nimebaki kuzurula tu mitaani kisha narudi kutizamana na mama watoto sio hela naomba kazi nguvu ninazo na hapa nilipo sipati tenda kiukweli maisha yamekuwa magumu sana upande wangu

Kama kuna mtu amewahi kupitia kipindi kama hiki najua atakuwa anahisi napitia wakati gani, nafikia hatua ya kutaka kuuza simu yangu hii ila bado najifariji huenda nikapoteza kabisa maana simu inaweza kutumika pia kunipa kazi

Naomba mwenye uwezo wa kunisaidia anioatie kazi hata saidia fundi ila kama ikipatikana kazi ya rangi skiming za material zote nafanya

Msaada tafadhari ndugu zangu hata kwa yeyote anaejua sehemu yoyote palipo na site ya ujenzi anijuze nijitose mkoa wowote ule ilimradi tu kazi ipatikane

Nazungumzia sana mambo ya ujenzi kwa sababu ndio huko nilikobobea hata kamtaji kangu nilikapata huko

Naomba Mungu awatie wepesi, muwe na majukumu mema ndugu zangu
 
Kuna uzi humu unaelezea kuhusu kazi ya ujenzi kibaha huko. Jamaa aliacha namba kua yeyote mwenye uhitaji apige namba hii kwa maelekezo zaidi namba ni hii
0625249605.

Pia unaweza kutafuta huo uzi sikumbuki umeandikwaje mkuu.
 
Kuna uzi humu unaelezea kuhusu kazi ya ujenzi kibaha huko. Jamaa aliacha namba kua yeyote mwenye uhitaji apige namba hii kwa maelekezo zaidi namba ni hii
0625249605.

Pia unaweza kutafuta huo uzi sikumbuki umeandikwaje mkuu.
Ahsante nashukuru mkuu, vipi uzi ni wa hivi karibuni maana isije kuwa kazi zimeshaisha kitambo nisaidie basi pia ukanitag kwenye huo uzi

no: nmezichukua nitamtafuta mkuu
 
Ahsante nashukuru mkuu, vipi uzi ni wa hivi karibuni maana isije kuwa kazi zimeshaisha kitambo nisaidie basi pia ukanitag kwenye huo uzi

no: nmezichukua nitamtafuta mkuu
Uzi ni haujamaliza mwezi ule mkuu, nikiutapa nitakutag ndgu. Mcheki tu huyo jamaa ndo ana detail zote nadhani zaidi hata ya uzi wenyewe.
 
Vishu Mtata uzi wenyewe si ndio huu hapa

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom