NAREI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 1,730
- 1,665
Habari wakuu,
Nina ndugu yangu anatafuta gari ya Kuanzia maisha walau.
Gari anazopendekeza ni cresta, corolla, starlet, gx 100.
Iwe kwenye hali nzuri tu na inayotembea.
Ziwe engine ndogo.
Karibuni kwa wenye gari mliozipaki ndani tu zisije kuoza.
Location: iwe Dar
Nina ndugu yangu anatafuta gari ya Kuanzia maisha walau.
Gari anazopendekeza ni cresta, corolla, starlet, gx 100.
Iwe kwenye hali nzuri tu na inayotembea.
Ziwe engine ndogo.
Karibuni kwa wenye gari mliozipaki ndani tu zisije kuoza.
Location: iwe Dar