Inahitajika Brand New Laptop

Inahitajika Brand New Laptop

i5 kwa 500k sidhani kama utapata mpya. labda mtu akuuuzie iliyotumika.
 
Kichwa cha habari kinajieleza nahitaji laptop yenye sifa zifuatazo
Procesor i5 core
Ram 4Gb
HDD 500
Dvd rw
Webcam
Bajeti yangu ni 500,000tsh

Kwa specifications hizo laki tano ni ndogo sana. Hata kama ni budget laptop bado haitafika hapo.
 
Kichwa cha habari kinajieleza nahitaji laptop yenye sifa zifuatazo
Procesor i5 core
Ram 4Gb
HDD 500
Dvd rw
Webcam
Bajeti yangu ni 500,000tsh

et brand new… unakichaa wewe. au unataka ya wizi? Nenda dukani utapata kwa hiyo laki 5
 
Laptop yenye vigezo unvyovitaka, used ni 5.5k brand ya hp sasa mpya kwa 5k utapata kweli?
 
Duhh sa kwa 500k.. Si unajiwekea mazingira mazuri ya kupigwa?? Ongeza pesa mkuu.. Vizuri gharama
 
huwezi kupata pc ya i5coe na 4gb ram kwa bei hiyo kuu, mpya za namna hiyo ni laki 9 na kuendelea nenda madukani ukaulizie
nipe 400,000 nikupe laptop nzuri
toshiba
HDD 500
RAM 2GB
webcam
intel -inside pentium
ipo fasta sana na ni kama mpya coz imetumika kwa miezi miwili tu huu unaenda wa tatu..ni pm kama unahitaji nikupe namba yangu tumalize biashara

Kichwa cha habari kinajieleza nahitaji laptop yenye sifa zifuatazo
Procesor i5 core
Ram 4Gb
HDD 500
Dvd rw
Webcam
Bajeti yangu ni 500,000tsh
 
huwezi kupata pc ya i5coe na 4gb ram kwa bei hiyo kuu, mpya za namna hiyo ni laki 9 na kuendelea nenda madukani ukaulizie
nipe 400,000 nikupe laptop nzuri
toshiba
HDD 500
RAM 2GB
webcam
intel -inside pentium
ipo fasta sana na ni kama mpya coz imetumika kwa miezi miwili tu huu unaenda wa tatu..ni pm kama unahitaji nikupe namba yangu tumalize biashara

Nimekupm kiongozi
 
Kichwa cha habari kinajieleza nahitaji laptop yenye sifa zifuatazo
Procesor i3 core
Ram 4Gb
HDD 320
Dvd rw
Webcam
Bajeti yangu ni 500,000tsh

Zipo kama mpya Mzigo toka uk
50pcs, i5 700Gb. 4ram
Call 0779420000
 
nipe bei mkuu kwa i5 ama i3 yenye 4gb ram na 500gb or above ya hdd,napendelea dell ama hp

tunazo laptop zifuatazo:-
hp probook 6450b
i5
700Gb
4RAM
BEI 580,000/=

elitebook 8440p
i5
700Gb
4RAM
BEI 580,000/=

probook 6550b
i5
320Gb
4RAM
BEI 520,000/=

laptop sio mpya ila zimerejeshwa kiwandani(kama mpya)

ZINGATIO:
MZIGO UMEISHA, MZIGO MPYA UTAINGIA 10th march inshaallah

CONTACT
:0779420000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom