Wadau!
Kuna huu mtindo Wa siku hizi makanisa mengi kufungwa system kubwa ya mziki kama disco!
Nimejaribu kuwaza hivi mchana au usiku wa manane Mchungaji kuhubiri Kwa sauti kuuubwa kupitia kwenye spika je nini lengo lake?
Hivi kanisa likiamua kuweka spika za sauti ya kusikika Kwa wasitani tu je mapepo hayatatoka?
Haya masipika ya siku hizi kanisani yanafaida gani? Tena hadi usiku jamani?
Kwani Mchungaji asipotumia mike au sauti ya kufoka kwenye spika ataonekana hajui kuhubiri?
Nawaza hapa sipati majibu kabisa!
"Mungu angekuwa anasikia kupitia spika, basi viziwi wasingekuwepo"
OMBENI KISTAARABU JAMAN MUNGU ANASIKIA HIZO ZINGINE NI ANASA TU.
Kuna huu mtindo Wa siku hizi makanisa mengi kufungwa system kubwa ya mziki kama disco!
Nimejaribu kuwaza hivi mchana au usiku wa manane Mchungaji kuhubiri Kwa sauti kuuubwa kupitia kwenye spika je nini lengo lake?
Hivi kanisa likiamua kuweka spika za sauti ya kusikika Kwa wasitani tu je mapepo hayatatoka?
Haya masipika ya siku hizi kanisani yanafaida gani? Tena hadi usiku jamani?
Kwani Mchungaji asipotumia mike au sauti ya kufoka kwenye spika ataonekana hajui kuhubiri?
Nawaza hapa sipati majibu kabisa!
"Mungu angekuwa anasikia kupitia spika, basi viziwi wasingekuwepo"
OMBENI KISTAARABU JAMAN MUNGU ANASIKIA HIZO ZINGINE NI ANASA TU.