Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,904
- 3,099
Nimewaza sana Jana na Leo, kuhusu mwenendo wa maisha yangu. Jinsi ninavyo lala na wanawake tofauti tofauti.
Mimi Miongoni mwa watu ambao wamepitia changamoto nyingi tokea utotoni. Pamoja na kupitia changamoto zote hizo namshukuru MUNGU Kwa jinsi nilivyo, ameniumba kijana mzuri,mpole,mnyenyekevu,mwenye heshima na adabu kwa wakubwa na wadogo, Nina huruma sana. Anyway nisijipakulie sana minyama.
Kasoro yangu ni moja, tokea nikiwa mdogo, nimejikuta nikiandamwa sana na tamaa za ngono, ukiniona na ukiambiwa stori zangu huwezi kuamini, hata rafiki zangu Kuna muda walistaajabu, walipogundua chaini ya wanawake nilio nao.
Hii imekuwa shida, sijawahi kutosheka ngono, na Wala sijawahi kuikinai. Ila naona wakati umefika wa kusema inatosha. Haijalishi napata matamanio kiasi gani Ila inabibidi nijifunze Kuacha. Nimekuwa nikipinga sana kubebewa ujauzito na kutaa ndoa na mahusiano ya kudumu, niliachana na girlfriend wangu kwasababu ya kuwa na wanawake wengi.
Najitahidi sana niondokane na hili jinamizi na Kwa msaada wa MUNGU naamini nitashinda.
Mods naomba mnipigie wimbo wa Mathias walichupa@nitashinda.
Mimi Miongoni mwa watu ambao wamepitia changamoto nyingi tokea utotoni. Pamoja na kupitia changamoto zote hizo namshukuru MUNGU Kwa jinsi nilivyo, ameniumba kijana mzuri,mpole,mnyenyekevu,mwenye heshima na adabu kwa wakubwa na wadogo, Nina huruma sana. Anyway nisijipakulie sana minyama.
Kasoro yangu ni moja, tokea nikiwa mdogo, nimejikuta nikiandamwa sana na tamaa za ngono, ukiniona na ukiambiwa stori zangu huwezi kuamini, hata rafiki zangu Kuna muda walistaajabu, walipogundua chaini ya wanawake nilio nao.
Hii imekuwa shida, sijawahi kutosheka ngono, na Wala sijawahi kuikinai. Ila naona wakati umefika wa kusema inatosha. Haijalishi napata matamanio kiasi gani Ila inabibidi nijifunze Kuacha. Nimekuwa nikipinga sana kubebewa ujauzito na kutaa ndoa na mahusiano ya kudumu, niliachana na girlfriend wangu kwasababu ya kuwa na wanawake wengi.
Najitahidi sana niondokane na hili jinamizi na Kwa msaada wa MUNGU naamini nitashinda.
Mods naomba mnipigie wimbo wa Mathias walichupa@nitashinda.