Ina maana tulikuwa tunadanganywa? Toka Magufuli awe Rais, uchumi haukuwahi kukuwa zaidi ya 6.8 kwa mujibu wa Report ya IMF

Mkuu wewe ndo unalijua hili leo? Hawa watawala wetu kipaumbele chao si maendeleo yetu bali madaraka yao.Hongera Sana kwa kuung'amua huu ukweli,maana watanzania walio wengi itawachukua miaka mingi kuujua na kuelewa ukweli huu.

Anatekeleza ahadi zake kwa vitendo za kuwafanya wanyonge waishi kama mashetani, walimie meno yaani waisome no hasa, kuliko zile walizozisoma enzi za Nyerere.Mliambiwa matalimia meno,mtasomeswa no,mtafanywa muwe mashetani ( wanyonge). Hivi watu watulie sindano ziwaingie ili siku zingine wawe na akili kuzisoma alama.Wakenya walistuka kusomeshwa no thus awakukosea kuchagua.
 
Mkuu wewe ndo unalijua hili leo? Hawa watawala wetu kipaumbele chao si maendeleo yetu bali madaraka yao.Hongera Sana kwa kuung'amua huu ukweli,maana watanzania walio wengi itawachukua miaka mingi kuujua na kuelewa ukweli huu.
Sijijui, yamo mazuri wanayafanya kishambashamba na matokeo yake ni kuonekana kama mabaya.
Natamani sana kulieleza hili kwa kirefu lakini sasa hivi mda hakuna. Nitatafuta siku nitakuita.
 
Dunia kuna watu awakupaswa kuja duniani ilipaswa wabakie kuzimu wamsaidie Kazi ibilisi,kuliko kuwatesa wanadamu wenzao
 
Anatekeleza ahadi zake kwa vitendo za kuwafanya wanyonge waishi kama mashetani, walimie meno yaani waisome no hasa, kuliko zile walizozisoma enzi za Nyerere.Mliambiwa matalimia meno,mtasomeswa no,mtafanywa muwe mashetani ( wanyonge). Hivi watu watulie sindano ziwaingie ili siku zingine wawe na akili kuzisoma alama.Wakenya walistuka kusomeshwa no thus awakukosea kuchagua.
Mkuu tatizo wamebinafisisha akili zao kwa CCM,hawawezi ona wala kujifunza
 
Hakuna indicators za ukuaji wa uchumi.
Zipo, lakini kwa mwananchi wa kawaida ni kuimarika kwa uwezo wake wa kujipatia/kununua mahitaji muhimu. Mengine kwake ni hadithi za kwenye makaratasi ya 'wasomi'
 
According to IMF report 2019. Uchumi wa tz toka 2016 haukuwai kukuwa ( GDP) zaidi ya 6.8. Ambayo ni tofaut ya 7.0-7.1 tuliyokuwa tukitajiwa na viongozi wetu kwenye majukwaa ya kisiasa.

View attachment 1079528

Inaonekana walikuwa wakitaja Projected GDP na sio real GDP.







Mwenye macho haambiwi ona na mwenye masikio haambiwi sikia. Wanasiasa wa Africa wanatakiwa kutambua kuwa " They can cheat election results but not economic principals

 
According to IMF report 2019. Uchumi wa tz toka 2016 haukuwai kukuwa ( GDP) zaidi ya 6.8. Ambayo ni tofaut ya 7.0-7.1 tuliyokuwa tukitajiwa na viongozi wetu kwenye majukwaa ya kisiasa.

View attachment 1079528

Inaonekana walikuwa wakitaja Projected GDP na sio real GDP.







Mwenye macho haambiwi ona na mwenye masikio haambiwi sikia. Wanasiasa wa Africa wanatakiwa kutambua kuwa " They can cheat election results but not economic principals


Growth ya 6.8% sio kitu kidogo, dunia nzima nchi zinazo kuwa kwa zaidi 5% hazizidi 15 katika nchi zaidi ya 254 dunia nzima.

Kwa ukuwaji huo huo atakuwa ameongeza dollar billion 30 katika uchumi wetu. Mwendo mkubwa sana huo.
 
Growth ya 6.8% sio kitu kidogo, dunia nzima nchi zinazo kuwa kwa zaidi 5% hazizidi 15 katika nchi zaidi ya 254 dunia nzima.

Kwa ukuwaji huo huo atakuwa ameongeza dollar billion 30 katika uchumi wetu. Mwendo mkubwa sana huo.


..kwa Tz ukuaji wa 6.8% maana yake tunapiga " mark time " kwa maana kwamba hatuendi mbele, wala haturudi nyuma.
 
Growth ya 6.8% sio kitu kidogo, dunia nzima nchi zinazo kuwa kwa zaidi 5% hazizidi 15 katika nchi zaidi ya 254 dunia nzima.

Kwa ukuwaji huo huo atakuwa ameongeza dollar billion 30 katika uchumi wetu. Mwendo mkubwa sana huo.
Na iyo ya 6.8% ni kwasababu alikuta JK kashatengeneza mazingira mazuri. Jk hadi iligonga 8%. Sasa uliza sasa hivi growth ipo kiasi gani. Hat 5% haifiki.
 
kwa nini?

..hakuna major transformation ya kiuchumi Tz.

..haturudi nyuma, lakini hatuendi mbele.

..uchumi wetu unatakiwa ukue kwa zaidi ya asilimia 15 kwa mwaka.

..na sekta ya kilimo inatakiwa ikue kwa walau asilimia 9 kwa mwaka.

..na wastani huo wa ukuaji unatakiwa uwe wa kipindi kirefu.
 
Back
Top Bottom