Ina maana hii kozi imejaa??

mie nilijaza civil engineering udsm ikaniambia not eligible ila nikabonyeza CHECK ELIGIBILITY STATUS maandishi mekundu juu hapo kwenye web ya tcu ikakubali kuandika eligible na masela wengine wamefanya hivyo jaribuni na nyie wadau
 
3.17, inawezekana mkuu! Mfano
E=5
E=5
F=7
S ya Gs=0.5

Div.3 point 17 ambapo tayari ana principle 2.
 
3.17, inawezekana mkuu! Mfano
E=5
E=5
F=7
S ya Gs=0.5

Div.3 point 17 ambapo tayari ana principle 2.

Inatakiwa angalau awe na cut off points 2.5 sasa EEF hapo ana 2.0(GS haihesabiwi) so haiwezekani!!
 
kumbe heslb waliongeza muda kwasababu wamebaini mapungufu?? Sasa walio kosea kijaza hizo form wanasaidiwaje???

ndo maana huwa namkubali kijana senator kwa true information.!! Xo mpango mzima mi nishalamba chuo but hofu yangu ni ishu ya mkopo yaani sipati usingizi kabisa
 
ndo maana huwa namkubali kijana senator kwa true information.!! Xo mpango mzima mi nishalamba chuo but hofu yangu ni ishu ya mkopo yaani sipati usingizi kabisa

Sasa kijana tusubili publication tu! I hope mungu katulengeshea palepale
 
Xio lazima cut off points iwe 2.5 inategemea na chuo na fuculty unayochukua! Kinachotakiwa ni angalau uwe na two principles!
 
Sasa vipi sie eligible hiko kote bado? Nasikia wengi kozi ya kwanza mmebadilishiwa kuwa not eligible
 
umeona eeh ! Yaan ni ful kuwaza

The system shall process the applicants with two or more principle passes. Tabu ni kwamba vyuo vichache vina admit kwa 2 principle passes na ni kwa program za science tu. Si kweli kwamba cas haikubali kudahili wenye principle mbili wenye div 3.17, ikikataa umewrong required data.
 

Mmh hi ni noumer bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…