Ina maana DAWASCO ndiyo Wizara ya Maji?

Ina maana DAWASCO ndiyo Wizara ya Maji?

Job K

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
9,314
Reaction score
7,165
Mimi hapa sijamwelewa Prof. Kitila Mkumbo (PhD). Ina maana kitu wanachoulizwa DAWASCO lazima Katibu Mkuu wizara ya maji akijibie? Hii haiko Sawa, sasa Katibu Mkuu ukijibu kitu ambacho kiko juu ya uwezo wa DAWASCO si utawachanganya wananchi? Sasa kama unajibu vitu vya DAWASCO ina maana na huku MORUWASA, MWAUWASA, SHUWASA, DOUWASA na kwenyewe wakusubiri ukawajibie?

upload_2017-11-8_11-43-39.png
 
Nadhani kaambiwa ajijenge kwa ajili ya 2020
 
Kuishi ukweni kazi sana kwa mwanaume, hata jani la mgomba likivuma na upepo unaitika kwa hofu isijekuwa baba mkwe amekuita hujasikia.
Daaa,, Mwana Mtoka Pabaya,, wewe ka Zaramo nini? Huu msemo umenivunja mbavu! Yaani wewe unakuwa mtu wa kuitika itika tu?
 
Back
Top Bottom