BIGURUBE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 6,748 Reaction score 4,257 Feb 22, 2015 #2 Wacha nizamie niende zangu Zim nikawe millionaire mimi
M motsepe Senior Member Joined Apr 8, 2014 Posts 137 Reaction score 34 Feb 22, 2015 #3 hiyo imeishapita mkuu haipo tena sasa hivi zimbabwe wanatumia sa brands usd na euro
M makubazi JF-Expert Member Joined Feb 15, 2013 Posts 2,047 Reaction score 365 Feb 22, 2015 #4 Naona hiyo ni sawa sawa na mayai matatu na inaonyesha uchumi wao unapaa hadi kila mwananchi kuwa biliionea safi sana
Naona hiyo ni sawa sawa na mayai matatu na inaonyesha uchumi wao unapaa hadi kila mwananchi kuwa biliionea safi sana