In need of a simple Accounting software

In need of a simple Accounting software

burhan6196

Member
Joined
Aug 23, 2018
Posts
65
Reaction score
84
Habari,
Nilikua naomba kufahamu/kufahamishwa software inayoweza ku keep record za mapato na matumizi na inayoweza kufungua financial statments za kila mwezi.
 
Habari,
Nilikua naomba kufahamu/kufahamishwa software inayoweza ku keep record za mapato na matumizi na inayoweza kufungua financial statments za kila mwezi.

Tunaweza kufanya hii kazi
 
unaijua QUICK BOOK, Je utahitaji, nitafute nikupe bure maana nataka hii nchi iendelee. na pia sihitaji hata 100 maana kuna watu wanaweza kuiona hii km fursa. nipo DSM
 
Sasa utampaje bure wakati quick books wenyewe wanauza
?
unaijua QUICK BOOK, Je utahitaji, nitafute nikupe bure maana nataka hii nchi iendelee. na pia sihitaji hata 100 maana kuna watu wanaweza kuiona hii km fursa. nipo DSM
a
 
Back
Top Bottom