meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Wadau tumesikia walami wa kingereza na probably wamarekani wameamua kuwaondoa raia wao nchini kenya kutokana na milipuko inayoendelea jijini Nairobi.
Suala hili linaweza kuwa na impact kubwa sana katika uchumi wa Arusha ambao hutegemea utalii.sina uhakika wizara ya maliasili na utalii imelichukuliaje swala hili.
Suala hili linaweza kuwa na impact kubwa sana katika uchumi wa Arusha ambao hutegemea utalii.sina uhakika wizara ya maliasili na utalii imelichukuliaje swala hili.