Imminent attack for Nairobi

Wacha1

JF-Expert Member
Dec 21, 2009
16,681
8,233
''Press Association, Saturday January 7 2012 Terrorists may be on the verge of launching terror attacks in the Kenyan capital Nairobi, the Foreign Office has warned in an alert to Britons in the African country.
The Kenyan authorities, who are engaged in military action against al Qaida-linked al-Shabab militants in southern Somalia and reportedly killed 50 in an air strike yesterday, have increased security in the city. In an update to its travel advice, the Foreign Office said: "The Kenyan authorities have alerted the public to a heightened threat from terrorist attacks in Nairobi. "We believe that terrorists may be in the final stages of planning attacks. Attacks could be indiscriminate and target Kenyan institutions as well as places where expatriates and foreign travellers gather, such as hotels, shopping centres and beaches.
"We strongly advise British nationals to exercise extra vigilance and caution in public places and at public events."
It already cautioned against all but essential travel to the city's poorest areas, including townships and slums.''




The safest capital in Africa under siege ... .... .. is that going to happen or it's just another masters propaganda?
 
KDF ikiua alshaabab inauwa lakini Al shaabab ikiuwa Wakenya haiuwi...ahhahaaaaa!
Nimejaribu nifahamu unalotaka kusema lakini sioni ndani.

Mkuu Kinyungu, Kenya imekwenda/ imeivamia Somalia kwa kisingizio kuwa inapigana na Al shabaab.Je Raia wangapi wasio na hatia wameshauawa na jeshi la Kenya au kila anaeuliwa ni Al shabaab.

Pili, Hawa wanaoitwa Al shabaab walikana kuhusika na utekaji nyara wa raia wa Kenya au wageni katika ardhi ya Kenya. Au kila anaeteka nyara watu ni Al shabaab?

Baada ya Kenya kuanza hiyo vita, Al shabaab ndio waliiambia Kenya kuwa watajibu mapigo. Kama umesoma hiyo habari ya juu utaelewa kuwa ndio sababu sasa hakuishi milipuko huko Kenya na vitisho hivyo kuwa wataripua.

Kenya wameingizwa hii vita na US, European nations aka war on terror.

Unakumbuka Ethiopia pia waliivamia Somalia kuwaondoa islamic courts ambao walikwishaanza kufanikiwa kuleta amani Somalia? Na mwanzo pia US walijipeleka huko katika "humanitarian misssion" yao?

Sishabikii Al shabaab, sishabikii Kenya lakini vita hii haihusiani na Al shabaab per se.Ni Recolonisation process na baadhi ya vikundi kama bokoharam, Al shaabab, Al qaeda affiliates vinatumika kutimiza azma hiyo. Baadhi ya nchi zanatumika pia kama officeboy.
Qatar imetumika Libya. Ethiopia ilitumika na inatumika tena sasa pamoja na Kenya katika hii mission ya Somalia.

kwa hiyo, yatakayotokea ni kuua,kuuana tu. Nani anafaidika?

Kwenye hii thread
https://www.jamiiforums.com/international-forum/182746-kenya-declares-war-on-al-shabaab.html
ipitie unaweza kusikia maoni mbali mbali halafu changanya na zako.


By the way, unakumbuka US alipotangaza vita dhidi ya Al qaeda? Miaka mingapi sasa?Expansion of US empire, strategy...war on terror, fight against exis of evils.
 
Nimejaribu nifahamu unalotaka kusema lakini sioni ndani.

Mkuu Kinyungu, Kenya imekwenda/ imeivamia Somalia kwa kisingizio kuwa inapigana na Al shabaab.Je Raia wangapi wasio na hatia wameshauawa na jeshi la Kenya au kila anaeuliwa ni Al shabaab.

Pili, Hawa wanaoitwa Al shabaab walikana kuhusika na utekaji nyara wa raia wa Kenya au wageni katika ardhi ya Kenya. Au kila anaeteka nyara watu ni Al shabaab?

Baada ya Kenya kuanza hiyo vita, Al shabaab ndio waliiambia Kenya kuwa watajibu mapigo. Kama umesoma hiyo habari ya juu utaelewa kuwa ndio sababu sasa hakuishi milipuko huko Kenya na vitisho hivyo kuwa wataripua.

Kenya wameingizwa hii vita na US, European nations aka war on terror.

Unakumbuka Ethiopia pia waliivamia Somalia kuwaondoa islamic courts ambao walikwishaanza kufanikiwa kuleta amani Somalia? Na mwanzo pia US walijipeleka huko katika "humanitarian misssion" yao?

Sishabikii Al shabaab, sishabikii Kenya lakini vita hii haihusiani na Al shabaab per se.Ni Recolonisation process na baadhi ya vikundi kama bokoharam, Al shaabab, Al qaeda affiliates vinatumika kutimiza azma hiyo. Baadhi ya nchi zanatumika pia kama officeboy.
Qatar imetumika Libya. Ethiopia ilitumika na inatumika tena sasa pamoja na Kenya katika hii mission ya Somalia.

kwa hiyo, yatakayotokea ni kuua,kuuana tu. Nani anafaidika?

Kwenye hii thread
https://www.jamiiforums.com/international-forum/182746-kenya-declares-war-on-al-shabaab.html
ipitie unaweza kusikia maoni mbali mbali halafu changanya na zako.


By the way, unakumbuka US alipotangaza vita dhidi ya Al qaeda? Miaka mingapi sasa?Expansion of US empire, strategy...war on terror, fight against exis of evils.

nina shangazwa sana unawapigia alqaeda na boko haram ngoma.
 
Nimejaribu nifahamu unalotaka kusema lakini sioni ndani.

Mkuu Kinyungu, Kenya imekwenda/ imeivamia Somalia kwa kisingizio kuwa inapigana na Al shabaab.Je Raia wangapi wasio na hatia wameshauawa na jeshi la Kenya au kila anaeuliwa ni Al shabaab.

Pili, Hawa wanaoitwa Al shabaab walikana kuhusika na utekaji nyara wa raia wa Kenya au wageni katika ardhi ya Kenya. Au kila anaeteka nyara watu ni Al shabaab?

Baada ya Kenya kuanza hiyo vita, Al shabaab ndio waliiambia Kenya kuwa watajibu mapigo. Kama umesoma hiyo habari ya juu utaelewa kuwa ndio sababu sasa hakuishi milipuko huko Kenya na vitisho hivyo kuwa wataripua.

Kenya wameingizwa hii vita na US, European nations aka war on terror.

Unakumbuka Ethiopia pia waliivamia Somalia kuwaondoa islamic courts ambao walikwishaanza kufanikiwa kuleta amani Somalia? Na mwanzo pia US walijipeleka huko katika "humanitarian misssion" yao?

Sishabikii Al shabaab, sishabikii Kenya lakini vita hii haihusiani na Al shabaab per se.Ni Recolonisation process na baadhi ya vikundi kama bokoharam, Al shaabab, Al qaeda affiliates vinatumika kutimiza azma hiyo. Baadhi ya nchi zanatumika pia kama officeboy.
Qatar imetumika Libya. Ethiopia ilitumika na inatumika tena sasa pamoja na Kenya katika hii mission ya Somalia.

kwa hiyo, yatakayotokea ni kuua,kuuana tu. Nani anafaidika?

Kwenye hii thread
https://www.jamiiforums.com/international-forum/182746-kenya-declares-war-on-al-shabaab.html
ipitie unaweza kusikia maoni mbali mbali halafu changanya na zako.


By the way, unakumbuka US alipotangaza vita dhidi ya Al qaeda? Miaka mingapi sasa?Expansion of US empire, strategy...war on terror, fight against exis of evils.

Swali ni je ungekuwa katika hali hiyo, ungefanya vipi? Tena, what do you understand by the term 'territoral' integrity
 
Nimejaribu nifahamu unalotaka kusema lakini sioni ndani.

Mkuu Kinyungu, Kenya imekwenda/ imeivamia Somalia kwa kisingizio kuwa inapigana na Al shabaab.Je Raia wangapi wasio na hatia wameshauawa na jeshi la Kenya au kila anaeuliwa ni Al shabaab.

Pili, Hawa wanaoitwa Al shabaab walikana kuhusika na utekaji nyara wa raia wa Kenya au wageni katika ardhi ya Kenya. Au kila anaeteka nyara watu ni Al shabaab?

Baada ya Kenya kuanza hiyo vita, Al shabaab ndio waliiambia Kenya kuwa watajibu mapigo. Kama umesoma hiyo habari ya juu utaelewa kuwa ndio sababu sasa hakuishi milipuko huko Kenya na vitisho hivyo kuwa wataripua.

Kenya wameingizwa hii vita na US, European nations aka war on terror.

Unakumbuka Ethiopia pia waliivamia Somalia kuwaondoa islamic courts ambao walikwishaanza kufanikiwa kuleta amani Somalia? Na mwanzo pia US walijipeleka huko katika "humanitarian misssion" yao?

Sishabikii Al shabaab, sishabikii Kenya lakini vita hii haihusiani na Al shabaab per se.Ni Recolonisation process na baadhi ya vikundi kama bokoharam, Al shaabab, Al qaeda affiliates vinatumika kutimiza azma hiyo. Baadhi ya nchi zanatumika pia kama officeboy.
Qatar imetumika Libya. Ethiopia ilitumika na inatumika tena sasa pamoja na Kenya katika hii mission ya Somalia.

kwa hiyo, yatakayotokea ni kuua,kuuana tu. Nani anafaidika?

Kwenye hii thread
https://www.jamiiforums.com/international-forum/182746-kenya-declares-war-on-al-shabaab.html
ipitie unaweza kusikia maoni mbali mbali halafu changanya na zako.


By the way, unakumbuka US alipotangaza vita dhidi ya Al qaeda? Miaka mingapi sasa?Expansion of US empire, strategy...war on terror, fight against exis of evils.
Nonda! kenya haijaivamia somalia bali imeenda kuwasaka al shabab. kuonesha kuwa hawajaivamia somalia, wanasaidiana na TFG ambao ndio mamlaka inayotambulika kimataifa huko somalia. ofcourse raia wasio na hatia wanakufa na hiyo ndo distinctive feature ya vita.

inawezekana hushabikii al shabab moja kwa moja lakini bila kujijua unashabikia maana unaonesha unawatambua kuwa wana haki ya kuwepo somalia na unadiriki kusema mahakama za kiislam zilikuwa zimeanza kuleta amani somalia, napata shida kutofautisha kati ya amani, hofu na utulivu. kuhusu recolonisation kwa waafrika hilo ni tatizo la waafrika wenyewe, ukubali kuwa sie tuna akili kama wazungu; sasa kama ikiwa viongozi wa kiafrika ni wabinafsi, mbumbumbu na wachumia tumbo unawezaje kuwalaumu viongozi wa nje ya bara wanaotumia udhaifu wa viongozi wa kiafrika kutimiza maslahi yao? unawezaje kuwalaumu wazungu na waarabu inapotokea udini unaimarika Tanzania wakati unajua ccm ndo wanaoupalilia? vikundi vinavyoibuka ni matokeo ya utawala mbovu wa waafrika.

Halafu unatakiwa ujue kuwa kenya kama nchi ilitumia idara zake za usalama kugundua kuwa alshabab ndiyo inayohusika kwahiyo habari ya kukanusha kwenye vyombo vya habari siyo ishu labda kama utasema kuwa kenya ni taifa la ovyo sana kiasi cha kutumia matamko ya alshabab ktk kufanya maamuzi.

Najua kuwa mtu dhaifu kwa kawaida atamsingizia mwenye nguvu kwa matatizo yote yanayomkabili, ndiyo maana kila uamuzi usiofurahisha waafrika unaofanywa na viongozi wetu tunasingizia kuna mkono wa US na EU, ukweli ni kuwa hakuna ushahidi wowote kuthibitisha kuwa kenya imetumwa na US isipokuwa ni uvumi wa watu wanaotoa majibu rahisi kwa maswali magumu.
Kenya inaomba msaada huku na huko na mahali walipokimbilia ni US, EU na Israel hii ni kwasababu Kenya ni taifa linalowaabudu sana mabwana zake mabepari, lakini hapo tusichanganye kwa kuwapakazia wazungu ambavyo havina ushaidi.
 
Back
Top Bottom