Nitashangaa sana kama CCM itaondoka madarakani bila mtu kuishia The Hague.
Hawa vijana wa CCP wamemaliza mafunzo jana, then less than 24 hours wanapelekwa Arumeru bila kufanyiwa 'practicle assessment'? Watepewa silaa hap vijana? Kama jibu ni ndio basi Mwema amuombe mungu wake wasivurunde maana atakuwa Directly responsible kama hawa vijana watauwa.
Hawa vijana wa CCP wamemaliza mafunzo jana, then less than 24 hours wanapelekwa Arumeru bila kufanyiwa 'practicle assessment'? Watepewa silaa hap vijana? Kama jibu ni ndio basi Mwema amuombe mungu wake wasivurunde maana atakuwa Directly responsible kama hawa vijana watauwa.