Imeonekana huko JAMBIANi

Hii ni fix, tuambie imesimama kwenye magurudumu gani? tuache dhihaka kwenye majanga, waliokutwa na hayo yaliyotokea hawakuomba wala hawakupenda yatokee, nadhani tunatakiwa kufunga na kuwaombea wahanga kwani leo yamekua kwao na kesho yatakuwa kwetu.
 
Hii ni fix, tuambie imesimama kwenye magurudumu gani? tuache dhihaka kwenye majanga, waliokutwa na hayo yaliyotokea hawakuomba wala hawakupenda yatokee, nadhani tunatakiwa kufunga na kuwaombea wahanga kwani leo yamekua kwao na kesho yatakuwa kwetu.
heri mimi sijawahi wala sitegemei kupanda ndege.
 

JAMANI Lovebird yeye kaleta picha km ilivyo kosa lake liko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Tarehe moja mwezi wa NNE

Wanaita nini vile ... tayari?
 
Hii sredi imepotea njia,kule kwenye jokes na gossips ndio mahala pake.Tunzingatie majukwaa wanajamvi.
 
Foolish! Watu wapo kwenye majonzi ww unaleta upuuzi apa, ivi watu wengine kufikiri kwenu kukoje? Shame on you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…