Imeniuma sanaa!

am sorry to say this but hii tabia ya wasichana kukimbilia kubeba mimba sikuhizi kabla ya ndoa inanikwaza sana

kwa vile ww Mungu kakuepusha usifikir ndio ulikuwa makin sana ila hukubahatika kukutana na wakwale. Na acha hyo kauli ungekuwa single ningekutafuta kwa gharama yoyote ili nikuthibitishie kuwa huna ujanja ila hukubahatika kukutana nao
 


Pamoja na kupendana kote, mambo ya kupata mtoto yanahitaji mjadiliane na mkubaliane. Inawezekana hisia zake ni kwamba unataka kutumia mimba kama kigezo cha kufanya ndoa haraka. Siku hizi ndoa nyingi bibi arusi ana tumbo la kesho au kesho kutwa kujifungua.

Sikushauri utoe mimba maana ulishaamua kuzaa. Awe anataka au hataki itabidi uendelee na ujauzito na kuangalia baadaye mambo yatakuwa vipi. Je kwa muda wote huo wa uhusiano, kuna ndugu zake wanakufahamu? Kama hamna hiyo siyo dalili njema na ulipaswa kusoma alama za nyakati.
 
am sorry to say this but hii tabia ya wasichana kukimbilia kubeba mimba sikuhizi kabla ya ndoa inanikwaza sana

mrsleo anasema walidumu miaka 3...
unadhani dhana ya kukimbilia hapo ipo?
 
Last edited by a moderator:
ahahahahaaaaaaa,mweee!! Nmecheka mana leo hii kabnt kangu kanafunga miaka 2 net na n matokeo ya situation kama yako mama!! Dawa n kujipanga tu mana mama na baba na hata ndugu hawawez kukufukuza et ksa umewaletea mtoto walaaaaa!! Mie mwanangu bibi ake ashamng'ang'ania tena hatak nimchukue na nko kwangu nmepata mume nmeolewa tena kwa ndoa kwa ndoa takatifu ya kanisan!! So ayo n mapto na kwa kupitia uyo mtoto utakuja umjue n nan mume wako mana ukishamwambia mtu kuwa una mtoto na akakukubal chunguza kama atampenda mwanao kweli?? Akzingua tupa kule na mtoto c gharama kulea ad akushnde graduate mzima!!
 

ndugu zake wote wananifahamu.....na hata yeye pia kwetu wanamjua
 
ukimaliza kuitoa tu ndo mwisho wa mawasiliano/mahusiano yenuuuuuuu....tunza
 
tatizo ni kuwa wakati mwingine mtu unashindwa kuyabeba yanayokusibu na unajikuta umeysema ili kupunguza mzigo ndani ya moyo wako

Binadamu tuna tofautiana, utakuta kuna mtu unamsimulia tatizo lako anajifanya kukushauri huku moyoni anafurahia ulivyopatwa na tatizo.

Ni kweli ukiwaeleza watu inakupa relief, angalizo ni kwenye hayo mashauri ya watu!
 
Hiyo ni matokeo ya chips viazi_CAFETERIA!Poor girls.ZAA ULEE SASA SISI TUSEMEJE
 
kwa vile ww Mungu kakuepusha usifikir ndio ulikuwa makin sana ila hukubahatika kukutana na wakwale. Na acha hyo kauli ungekuwa single ningekutafuta kwa gharama yoyote ili nikuthibitishie kuwa huna ujanja ila hukubahatika kukutana nao

ndaga kalumbu
 
Hiyo ni matokeo ya chips viazi_CAFETERIA!Poor girls.ZAA ULEE SASA SISI TUSEMEJE!
 
Mmmh vijanaume vingine hovyoo afu badaye analeta vikengere vyake nataka mwanangu fyuuuuuuu!!! Nafungulia nyuki!! Mwaya we mtu mzima usikubali kutenda dhambi hiyo usitoe jenga mazingira yatakayokufanya ndugu zako wakubaliane na hali hiyo lea mimba lea mtoto afu wanakuwaga vichwa hao!!
 

mmmh Munkari@ wewe!!! umenifanya ntabasamu.....kweli una munkari
 
Last edited by a moderator:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…