Imebaki SEXY Legs tu! mweeeeee....

hapo hata kidume hawezi ingia, sina hamu kabisa. sijimini amini kuwa niko ktk mwili wangu!

Tena kwa hali hiyo ndio inakuwa ya motomoto kweli huwezi kuwa na hamu unahitaji fleva mpya... kama ya kwangu ndio hamu inaweza kurudi..
 
Unegeuzwa utazame ukuta, watu wanakula kama kawa. Hivyo vyote havikuzuwii kuliwa. Doggy.
 
Mamito mbona miguu bado imo tu!!! Nakwambia hivi kama ni ng'ombe mbona umemmaliza!!

Wakija hao ma-uncle utafurahi sana!!! Vumilia mama Ya muda tu haya...

Kwa hiyo ina maana jamaa haendelezi dozi kiaina?
 
Miguu haijavimba kweli Erotica? Ninavyojua miye kuwa kuvimba masti ukizingatia wewe ni kukaa na kulala tu...........halafu hapo bado shughuli ya kupunguza mwili baada ya kuzaa
 
Last edited by a moderator:
una bahati,kuna mdada mimba ilihamia kwenye matiti:halafu na wewe,inakuwaje mvua inyeshe bondeni mafuriko yawe mlimani????
 

Pole sana wifi @Etorica. Hii ni hali ya kawaida wala isikupe uchungu sana. Na madhali kaka HYGEIA yupo, mambo yako yatakuwa shwari sana.This is the sweet price we women pay to bring forth a life. Be proud wifi!
 
Last edited by a moderator:
Mwenzio nilikuwa na matatizo ya kifamilia! Ndo nimeingiaaa! Unayosema yote kweli shostiii, hapo ndo kwanzaa kazi inaanza! Bado huchachoshaaa! Ushauri ukishashusha ENGINE usiache kupita kwa CHINESE kwenye mambo yetu yaleeeee! Kila kitu kitarudi kuwa sexxy kama mwanzo!

Uburudike na wimbo wa destiny childs ubeti wa Kelly kutoka mitaa ya MIAMI

" i promise yah, to keep myself up, remain the same chick you fell in love.i will keep it tight, i will keep my figure right, i will get my hair fixed.....lolest"WHEN YOU COME HOME LATE TAP ME ON MY SHOULDER I WILL ROLL OVER""Sio unaanza makelele, ulikuwa wapiiiiii ???? maugomvi saa nane usiku...hahahhahahahah
 


Mimba ni kama upepo unaovuma, baada ya muda hupita! kumbuka kuwa hakuna short cut route kwenye kupata mtoto, lazima upitie haya unayoyasema vingenevyo labda uamue kuadopt!
 
Bwana Erotica mbona lips bado zi sweet n sexy? Those round eyes nazo bado siko sexy!

Nywele pamoja na kuwa unkept lkn bado zalipa, na down kule ndo kunazidi kuwa hot, shahidi Ndahani!
 
Last edited by a moderator:
Bwana Erotica mbona lips bado zi sweet n sexy? Those round eyes nazo bado siko sexy!

Nywele pamoja na kuwa unkept lkn bado zalipa, na down kule ndo kunazidi kuwa hot, shahidi Ndahani!

Weeee Kaunga! Unataka watoto wakichina waulizie huyu nyoka gani anayetembelea sehemu isiyomuhusu? Erotica muache adode peke yake...ntamsaidiaje sasa
 
Last edited by a moderator:
Weeee Kaunga! Unataka watoto wakichina waulizie huyu nyoka gani anayetembelea sehemu isiyomuhusu? Erotica muache adode peke yake...ntamsaidiaje sasa

Ha ha ha, she needs loads of love right now; na ni muda muafaka wa kuanza kuifungua fungua njia. HYGEIA ana huruma hadi anaharibu! LOL
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndo uone jinsi mama yako alivyofanya kazi kubwa mpaka hapo ulipofikia, POLE lakini mdada jipe moyo utamaliza na kuwapata wageni wako.
 


Ushauri pliiiz! nifarijini, nipozeni na nibembelezeni nijisikie vizuri. lara 1 upo mamito? come this way.............


No mwaaaaaaaaaah! hali mbaya :A S cry:
Erotica, kikuku hicho cha dhahabu miye hoi, natamani angalau kukupa dry kiss, halamu miye mbovu wa kweli wa wajawazito, plz weka picha ya tumbo lako.

Ndimi nikupendae bila kujali haliyo, Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Hivi baby shower ni lini? Au ilishanipita?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…