Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Licha ya majaribu waliyo pitia hivi majuzi, na uzushi wa wanafiki eti chama kimepoteza muelekeo kumbe ni propaganda za kidwanzi. watanzania bado wana imani na cdm tena umaarufu wake ndio umeongezeka mara dufu ushahidi ni muitikio wa raia kwenye mikutano ya cdm leo kwenye maeneo tofauti tofauti nchini.
CDM bila zitto inawezekana..
CDM bila zitto inawezekana..