hayo ni mambo ya kimila zaidi, ila suala la nywele kwa mtoto mchanga kwa majibu ya mafundisho ya uislam zinapaswa kupimwa baada ya kuzinyoa na uzito wake unaufananisha na thamani ya dhahabu kwa wakati huo, basi ikiwa ni gram kadhaa utamtengenezea hereni akiwa mtoto mwanamke ikiwa mvulana thamani ya dhahabu ile unaitoa sadaka....