Image search inafanyika vipi?

Mfano mtu kakutumia picha watsap na picha ya celebrity lakini humjui..unataka Ku search unaanzaje?
Tumia Google Lens boss, ukiingia kwenye google utaona ki icon cha kamera mbele ya icon ya mic. Uki click hapo utapata option ya ku search kwa picha either kwa kupiga picha kwa camera yako au kwa kuchagua picha iliyo kwenye gallery yako.

Mfano hapo chini.
 


Hiyo app inaitwaje?
 
Na mimi nadandia lift hapahapa, ni program gani kama nyimbo inapigwa redion unaweza kutumia simu yako kujuwa ni nyimbo ya nani?
Rahisi sana kutumia bro.
itakupatia nyimbo ambazo ziko mtandaoni tu.

ukisikia wimbo kokote iwe redioni ama kwenye simu ya mtu, ama wimbo unachezwa mahala flani, washa data kisha open hii app kisha tap to shazam

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…