Mzee M.M.Mwanakijiji
Kijalida cha Cheche kilipotelea wapi???
Kilikuwa ni mhimu sana kwa sababu kuna watu wengi sana wanatakiwa kupata hoja zinazojadiliwa hapa kwenye mtandao ambao hawana access na internet ambao wangeweza kufikiwa na kijalida kama cha cheche, kwa nini usianzishe tena na watu wakalipia kwa subscriptions? siku hizi kuna ZAP, M-Pesa, etc ambazo zinaweza kutumuka kama modes of payment na nina imani kuna watu ambao wangeweza kufanya hivyo mimi nikiwa mmoja wapo, ila mradi procedure ya kulipa iwe rahisi.
Naomba kuwasilisha mkuu.