Kuna vitu vingine vinafurahisha sana,tunaambiwa mwanadamu anaongozwa kwa dhamira mbili ambazo humsababisha atende mema au mabaya,akitenda mema basi hiyo ni dhamira ya mungu na akitenda mabaya hiyo ni dhamira ya shetani ndio imemutuma.lakini neno hilo hilo linasema Mungu ndio muumba wa vitu vyote hata shetani aliumbwa na Mungu ndio tusema Mungu alimuwekea shetani ndani yake dhamira ya uovu-kwa maana nyingine Uovu unatoka kwa Mungu mwenyewe,sasa ni kwa nini ahukumu binadamu kwa nnn uovu alio uumba mwenyewe??? Uamuvi wa binadamu kuwa upande a au b ni uamuzi ulio ndani ya nafsi yake ambao umetoka kwa Muumba wake!
Kama kweli!Mungu atawahukumu binadamu eti kwa kuwa hawakutenda mema basi ni dhahiri anajihukumu mwenyewe