katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Watu humu je hii hali imekutokea?
Mimi kwangu ndio nilikuwa namchumba ambaye nilikuwa naye serious kimapenzi ila kuna siku nafua nguo zetu kucheki mifuko nikakuta condom kobox kizima na risiti ya benki inaonyesha alitoa hela kiasi fulani akampee baada ya mchezo mbaya kipaketi kimefunguliwa na zimetumika tatu.
Nililia sana tu na nguo sikufua tena nilifua zangu na zilipokauka nikasepa kwetu bila ya kumuongelesha kitu chochote kwa maana hata sina hadhii.
Mimi kwangu ndio nilikuwa namchumba ambaye nilikuwa naye serious kimapenzi ila kuna siku nafua nguo zetu kucheki mifuko nikakuta condom kobox kizima na risiti ya benki inaonyesha alitoa hela kiasi fulani akampee baada ya mchezo mbaya kipaketi kimefunguliwa na zimetumika tatu.
Nililia sana tu na nguo sikufua tena nilifua zangu na zilipokauka nikasepa kwetu bila ya kumuongelesha kitu chochote kwa maana hata sina hadhii.