Iliishia wapi ile haki ya kuchinja?

Kila mmoja anachinja chake adi uku burcher zimegawanyika kulingana na dini na burcher nyingine imeandikwa bwana asifiwe.
 
Kulikuwa na mgogoro cku za nyuma kwamba waislamu wanalazimisha kuwa wao ndo wana haki ya kuchinja....na wakristo wakisema sio lazima muislamu aje akuchinjie, hivi liliishaje hilo sakata? na nani waliopewa haki hiyo?
Msaada plz

Liliisha pale yalipotokea maandishi ya The end halafu zikafuata filamu nyingine nyingi tu
 
Ya Sheikh Illunga yanarudi tena jamani....
 
Kawaulize wenye mabucha watu tulishatulia wewe tena unaibuka na mambo yako ya mwaka 47!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…