Ilibaki kidogo nichapwe elf 45 kwa kudhani Tv imeharibika sehemu ya kuweka flashi kumbe ni betri za remote hazina nguvu

Ilibaki kidogo nichapwe elf 45 kwa kudhani Tv imeharibika sehemu ya kuweka flashi kumbe ni betri za remote hazina nguvu

nguvu ya buku

Senior Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
168
Reaction score
549
Jumapili kidogo nichapwe elfu 45 nikidhani TV imeharibika sehemu ya kuweka flashi.

Nikaibeba kuipeleka kwa fundi, Nikaambiwa sehemu hio imeungua, inahitaji kubadilishwa

Muda huo remote inafanya kazi vizuri tu lakini ukiminya sehemu ile ya kufungulia flash inakataa

Fundi akasema nimsubiri kidogo, kulikuwa na remote nyingine inayofanana nikaichukua kujaribu, ikakubali

sasa nikawa najiuliza kwanini yangu haiwezi, nikatoa betri za kwenye remote ya mwanzo nikaweka kwenye yangu, ikakubali 😂

Nilipanga niondoke nimdanganye fundi ntaleta siku nikiwa na hela ila nikamwambia ukweli nikamwachia elfu tano
 
Kuna siku nimepoteza elfu 2,kisa piki pik imegoma kuwaka,kumbe ina gia inatakiwa iwe free

Niliwah pigwa 180,000 na fundi tv,kumbe spare aliyoweka ni ya 25,000(mikanda),hii ni baada ya fundi wa kwanza kumshinda
 
Jumapili kidogo nichapwe elfu 45 nikidhani TV imeharibika sehemu ya kuweka flashi.

Nikaibeba kuipeleka kwa fundi, Nikaambiwa sehemu hio imeungua, inahitaji kubadilishwa

Muda huo remote inafanya kazi vizuri tu lakini ukiminya sehemu ile ya kufungulia flash inakataa

Fundi akasema nimsubiri kidogo, kulikuwa na remote nyingine inayofanana nikaichukua kujaribu, ikakubali

sasa nikawa najiuliza kwanini yangu haiwezi, nikatoa betri za kwenye remote ya mwanzo nikaweka kwenye yangu, ikakubali 😂

Nilipanga niondoke nimdanganye fundi ntaleta siku nikiwa na hela ila nikamwambia ukweli nikamwachia elfu tano
Ulikuwa umeshageuzwa kitoea
 
Kuna siku nimepoteza elfu 2,kisa piki pik imegoma kuwaka,kumbe ina gia inatakiwa iwe free

Niliwah pigwa 180,000 na fundi tv,kumbe spare aliyoweka ni ya 25,000(mikanda),hii ni baada ya fundi wa kwanza kumshinda
Halafu katika kitu ambacho niliwahi kujifunza kwa mafundi usije mwambia umepeleka kifaa kwa fundi flani kimemshinda, na kama kuna fundi wa kwanza aligundua kifaa kina tatizo flani usimwambie fundi mpya sababu inaweza ikawa sio tatizo hilo labda akitafuta tatizo alikose,
 
Back
Top Bottom