Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Basi bhana, mida ya saa tano za usiku nikawa navutana na jimama lenye manyonyo makubwa sana nisiyoyamudu, ile kukataa lenyewe linalazimisha. Kwa bahati nzuri nikalishinda, ile kufika mbele, kuangalia oppo yangu, siioni tena. Basi bhana, nikajongea pembezoni mwa ule mtaa, nikajiinamia huku mafua na kwikwi vikitaradadi. Ghafla nasikia "Helo Helo Helo camanda on duty, ova ova ova. Lile jambazi sugu niko nalo hapa mbele yangu". Ile kuinua shingo nakutana na kijiafande chembamba halafu kimepanda hewani huku mikono yake ikishikilia Radio Call. Ruksi yake ikining'iniza Pingu
Katika hali ya kutaka kurusha Peresu Peresu, nakuta tayari nishazungukwa. Basi bhana nikazivaa pingu
Usiku wa Jana ulikuwa ni wa pirika pirika. Kilichofuata na kusukumwa rumande. Nimekuja kutoka saa tisa asubuhi huku pesa zangu zote wakiwa wamezipopoa I.e 140k
Wakati narejea nyumbani nakuta mambo yamekwisha haribika. Si video calls, si note voices, sio WhatsApp SMS, wala sio normal text. Lile jitu pale kimboka limewapigia watu wote kwenye simu kuomba kama kuna MTU anayenifahamu, aje anichukulie simu yangu pale Kimboka. Yaani jumbe zimemfikia mama Mkwe, Baba Mkwe, Wake, Watoto, Majirani, Wafanyakazi wenza n.k, kasoro wazazi tu ambao namba zao huwa nabaki nazo kumkichwa.
Nimeamua kukimbia kwangu, kwa sasa niko kwenye kijigheto nilichopanga kwa ajili ya mizagamuo ya dharura. Nimeazima simu na ku log in into my Google account. Huwa inafanya back up, kila kitu inasave mle. Kwa namna ambavyo walikuwa wanayarusha rusha na kujirekodi kwa simu yangu, nahisi ndoa imeishia hapa. Kama ni bando langu la GB 10 la mwezi, nahisi wamelifuta lote. Maake sio kwa ule ufuska.
Nimesikitika sana aisee
Katika hali ya kutaka kurusha Peresu Peresu, nakuta tayari nishazungukwa. Basi bhana nikazivaa pingu
Usiku wa Jana ulikuwa ni wa pirika pirika. Kilichofuata na kusukumwa rumande. Nimekuja kutoka saa tisa asubuhi huku pesa zangu zote wakiwa wamezipopoa I.e 140k
Wakati narejea nyumbani nakuta mambo yamekwisha haribika. Si video calls, si note voices, sio WhatsApp SMS, wala sio normal text. Lile jitu pale kimboka limewapigia watu wote kwenye simu kuomba kama kuna MTU anayenifahamu, aje anichukulie simu yangu pale Kimboka. Yaani jumbe zimemfikia mama Mkwe, Baba Mkwe, Wake, Watoto, Majirani, Wafanyakazi wenza n.k, kasoro wazazi tu ambao namba zao huwa nabaki nazo kumkichwa.
Nimeamua kukimbia kwangu, kwa sasa niko kwenye kijigheto nilichopanga kwa ajili ya mizagamuo ya dharura. Nimeazima simu na ku log in into my Google account. Huwa inafanya back up, kila kitu inasave mle. Kwa namna ambavyo walikuwa wanayarusha rusha na kujirekodi kwa simu yangu, nahisi ndoa imeishia hapa. Kama ni bando langu la GB 10 la mwezi, nahisi wamelifuta lote. Maake sio kwa ule ufuska.
Nimesikitika sana aisee