Ile Bangi ya Kikondo na Kitulo tuifanyeje?

Power Benq

JF-Expert Member
Dec 19, 2016
548
456
Wadau na mimi nichangie hili la madawa ya kulevya kwa kuweka red flag kule Makete hasa hayo maeneo niliyoyataja yaani Kikondo na Kitulo. Kule bangi ni nyingi mno na inajiotea tu, ukiweka na hali ya hewa kwa ustawishaji wa mmea huo basi ni hatari tupu. Mlioko karibu na kamishina mfikishieni ujumbe ili tujue tunaifanyaje fanyaje. Ni nyingi mno.
 
Bangi ya Kule haina stimu Ndio Maana haina soko.
Kule bangi hailimwi. Ni sehemu ya magugu.
Ukitaka kukamata watu Kule utafunga wilaya nzima.
Watu wamezaliwa wakaikuta bangi mashambani mpaka wamezeeka ipo.

Zamani bangi ilikuwa inatumika Kama kiungo cha Mboga. Mbegu Zake unakaanga Kama karanga na kuzisaga
 
Wadau na mimi nichangie hili la madawa ya kulevya kwa kuweka red flag kule Makete hasa hayo maeneo niliyoyataja yaani Kikondo na Kitulo. Kule bangi ni nyingi mno na inajiotea tu, ukiweka na hali ya hewa kwa ustawishaji wa mmea huo basi ni hatari tupu. Mlioko karibu na kamishina mfikishieni ujumbe ili tujue tunaifanyaje fanyaje. Ni nyingi mno.
Umesema bangi inajiotea katika maeneo hayo. Vema. Kuiharibu na kuitokomeza itakuwa ni kuharibu ecosystem.
 
Hivi mmea wa bangi asili yake ni wapi mpaka ukataliwe katika sayari ya dunia!? Je, Mungu alikosea kuuumba?
 
Bangi ya Kule haina stimu Ndio Maana haina soko.
Kule bangi hailimwi. Ni sehemu ya magugu.
Ukitaka kukamata watu Kule utafunga wilaya nzima.
Watu wamezaliwa wakaikuta bangi mashambani mpaka wamezeeka ipo.

Zamani bangi ilikuwa inatumika Kama kiungo cha Mboga. Mbegu Zake unakaanga Kama karanga na kuzisaga
 
Bangi makete tunaunga kwenye mboga, hata hivyo tunashangaa serikali kutangaza ni madawa ya kulevya wakati sisi hatujawahi kulewa.....

Na isitoshe inajiotea shambani kama Magugu mengine.....
 
Bangi ya Kule haina stimu Ndio Maana haina soko.
Kule bangi hailimwi. Ni sehemu ya magugu.
Ukitaka kukamata watu Kule utafunga wilaya nzima.
Watu wamezaliwa wakaikuta bangi mashambani mpaka wamezeeka ipo.

Zamani bangi ilikuwa inatumika Kama kiungo cha Mboga. Mbegu Zake unakaanga Kama karanga na kuzisaga
Ulishaivuta ukakuta haina stimu???.
 
Miaka ya nyuma kidogo Kama 1985 polisi walikwenda kule kikondo kwa ajili ya kufyeka ile bangi na kuichoma moto, kilichotokea wale polisi walizunguka lile shamba mpaka asubuhi na kila wakiangalia wenyewe wanaona mahindi. Sasa sijui kipindi hichi wataweza kufyeka.
 
Bangi makete tunaunga kwenye mboga, hata hivyo tunashangaa serikali kutangaza ni madawa ya kulevya wakati sisi hatujawahi kulewa.....

Na isitoshe inajiotea tu shambani kama Magugu mengine.....
 
Back
Top Bottom