Ila wanaume wanasiri nzito

Ila wanaume wanasiri nzito

Alinibembeleza sikuwa nimewahi hiyo kitu, yaan nilimtapikia hapo na ndio ulikuwa mwisho wangu mm na yy
Hahahahahahh tena ungemtapikia mdomoni kwake kabisaa jinga kwelii
 
Kama ni kwenye ndoa bora niachwe wanaume Wa kileo kila k wanachovya ala na mimi niingize mdomoni,thubutu
You must be joking, uache ndoa kisa blowjob? Vitu kama blowjobs, frech kiss, going down haviepukiki. Labda upate wa kufanana nawe, if at all utapata.
 
You must be joking, uache ndoa kisa blowjob? Vitu kama blowjobs, frech kiss, going down haviepukiki. Labda upate wa kufanana nawe, if at all utapata.
Msimamo wangu ni kwamba siwezi kulamba huo uchafu.
 
wale waseng.e baridi wanatongoza kuzuga jamii. nlikutana na mmoja ujanani jamani katika foreplay uwiiiii haya ingiza anaanza story ooh nlimpa mimba mtoto wa mwenye nyumba nikaikataa akaniroga yaani kila siku story mpya
Lete Uzi wa hii story..duniani kuna mamboo
 
shida sio mwandishi mzuri
Kwani unatunga story??si unaandika kitu halisi ulichokutana nacho...yani unakuwa kama unaadisia hadithi...hujui kwamba kushare experience kutawasaidia wenzio wengi humu ambao wanatafuta wenza..mana siku hz nadhani mapunga yamekuwa mengi kweli
 
Umetunga story kutukashifu wanaume tu., Hajakuwepo mwanaume wa kiwango cha kutongoza mwanamke, atake kupigwa dole..!!!
 
Dunia simama kata ya Mamaye nishuke then nitembee kwa miguu mpaka Ibongoya nikatokezee Koromije nifuate Barabara ya vumbi mpaka Mantare nikatokezee Sumve
 
Back
Top Bottom