Wewe unazani katika hao tisa hatutopata mbunge japo mmoja? think! smile think!dna gani labda kwa kuendeleza umaskini
Hehehe...fellow tablet umenikumbusha..... jirani yetu mmoja enzi hizo alijitahidi kuzaa mitoto kumi na tatu..... Aliyefanikiwa kuliko wote ni mjumbe wa nyumba kumi!Wewe unazani katika hao tisa hatutopata mbunge japo mmoja? think! smile think!
Inaonekana mbegu za jamaa unazielewa kiundani sana lolhata mjumbe wa nyumba kumi hamna? labda wawe na zali kama pr maji marefu
Hiyo makitu hapo kwa bold ndo nini?possible babu maana halijaacha gemu na akiona condomu anazimia eti
Hehehe...fellow tablet umenikumbusha..... jirani yetu mmoja enzi hizo alijitahidi kuzaa mitoto kumi na tatu..... Aliyefanikiwa kuliko wote ni mjumbe wa nyumba kumi!
Kazi ya vipaji hiyo.....
Yan moja reply yake 2Dayuuum! Jamaa inaelekea mbegu zake ziko potent kinoma noma.
Hahahahahaaaa akikusikia anaua mtu humuhumuhehehe halaf uskute huyo balozi wenyewe ni bujibuji wa JF
Utafiti wa haraka haraka umebaini mtoto wa sita wa huyu kitombi amejifungua na Smile.....Inaonekana mbegu za jamaa unazielewa kiundani sana lol
Na wewe ni wale wale? wa unayajua hayo makitu? Yana test gani?hujui babu na wewe ni hao hao
Utafiti wa haraka haraka umebaini mtoto wa sita wa huyu kitombi amejifungua na Smile.....