Ila Utopolo mna shida Sana

Ila Utopolo mna shida Sana

Ulikata ticket Yako !?
I mean we ni miongoni mwa wale 12000 wa magori mtakao cause chaos !?
 
Ubaya ubwela. Dua zetu zote leo mashabiki wa simba ni kwa Rs Berkane.
 
Mmelishupalia suala la Simba kucheza mechi ya fainali kwenye uwanja wa Amani utafikiri nyie ndio Berkane. Hangaikieni mambo yenu. Mnafanya hivi kwa kufahamu nguvu ya Mnyama akiwa kwa Mkapa.
Oneni aibu
Usiwatilie maanani hawa vyura, level yao hawa ni Kizimkazi tu kwenye kombe la urojo basi.
 
Back
Top Bottom