Ikulu yamtetea Prosper Mbena


Kwanza hiyo source yenyewe tu eti "habari leo",si karatasi ya kufungia vitumbua hiyo na mihogo huku uswahilini kwetu.
 
...ikulu iliyokaliwa na wezi lazima wateteane....ndio maana hatua mpaka sasa hatua hazijachukuliwa kwa wezi....watanzania wanaona na wanasubiri....

kuwa na adabu, inaonekana hukufunzwa tabia njema na wazazi wako
 
kuwa na adabu, inaonekana hukufunzwa tabia njema na wazazi wako

..we juha mi wazazi wangu hawakunifundisha kuwaheshimu wezi...Inaelekea hamtaki kukubaliana na ukweli wa wezi kupanga ikulu yetu...lakini watanzania wanajua hivyo sasa...waambieni hivyo nyoka mnaowatetea hum jf.....
 
Kipande cha ripoti ya CAG kinasomeka kama ifuatavyo:


 
..we juha mi wazazi wangu hawakunifundisha kuwaheshimu wezi...Inaelekea hamtaki kukubaliana na ukweli wa wezi kupanga ikulu yetu...lakini watanzania wanajua hivyo sasa...waambieni hivyo nyoka mnaowatetea hum jf.....

wape vidonge vyao.
Hatakama wameiba na ela wanazo lkn 2015 ndi mwisho Wao.

Et maisha bora. Sera yenye ni wizi tu.
 
Wezi utawajua tu kwa sarakasi zao.
Mahangaiko yao wataishia kuumbuka mwaka huu.
 
hata Membe alikanusha kuhusu meno ya Tembo na msafara Xi Jinping
 
kuwa na adabu, inaonekana hukufunzwa tabia njema na wazazi wako

Unahemuka kitu gani kama huna KIRUSI cha wizi kwenye damu yako au ni beneficiary wa wizi!! uliona wapi mwizi akakiri kuwa ni mwizi?! Usitufundishe woga, mwizi lazima aitwe mwizi, na muongo aitwe muongo,period., kwa neema za Mungu tunao tumbili wa kuwakamata wezi, bravo Kafulila, long live UKAWA
 
wabunge wengi huwa wanazungumza kwa sifa tu lakini ukiwaambia walete viambatisho au uthibitisho usikuwa na shaka mavi debe wanajivunia ile kinga ya bunge kuongea hata ujinga usiokuwa na maana.
Kwani mkuu ulikuwa unategemea jibu gani toka serikalini? Sisi wengine hilo ndilo jibu tulilolitegemea.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Kawashtaki kama wametengeneza vya kughushi

Umemjibu vyema.Na ndiyo maana Singasinga anaipigisha kwata serikali sababu wamekul wote.Hivi utawezeje kama muwekezaji kumwambia kiongozi wa taasisi ambaye ni mteuliwa wa Rais awekwe jela sababu tu anatimiza majukumu yake.

Maskini Tanzania yangu.Hivi kwanini kama aliona hana uwezo wa kuongoza aliogombea? Kweli kabisa mpaka Sasa Tanzania hatuna rais bali tuna mtalii ambaye kwa sasa amelala eti ana ED.
 
Well said kurugenz ya mawasiliano.tunashukuru kwa kutoa taarifa na wameisikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…