Ikulu ya Tanzania

Ikulu ya Tanzania

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Kuanzia wiki kijayo Dr.Pombe Magufuli anahamia Hapa kwenye vila hapo chini! Asiyetaka ahame nchi ndiyo hivyo tena hamna jinsi!


zanzibar-u2014-presidents-office-and-chairman-of-revolutionary-council.jpg

View attachment 301668

 
Ikulu hii Ikulu hii!!

CCM MBELE KWA MBELE
 
'who the cap fit let him wear it'..hapo pana mtosha mzee lowassa kijana wala usipotezee kura yako tar25
 
Lowassa tunakuomba ukarudishe hadhi ya hili jengo
 
Hapo ni kama M/Mungu amekupangia siyo ccm wala nani sisi tunaendelea kumuomba Mungu atakaeingia humo kwa hila na wizi basi ikulu yetu iwe kama ile ya Malawi na Zambia
 
Back
Top Bottom