kenyamanyori
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 734
- 327
Matokeo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa - Mtaa wa Nyamagana yameiweka Ikulu ya Mwanza Chini ya uongozi wa Chadema. Sasa viongozi hao wanatafakari jinsi ya Ikulu hiyo kuchangia mapato mengi kujenga barabara na miundombinu ya Kapripoint ili kuifanya ilingane na hadhi ya Ikulu.