KISAKA MORIS
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 372
- 33
Nadhani, uelewa mdogo
nao unachangia nchi sasa kuwa ya majungu na ushabiki usiyo na tija. Hivi
Salva anasakamwa kwa sababu ni msemaji wa Ikulu au kwa sababu yuko
katika nafasi ambayo wengi waliimezea mate na hawakuipata?
Nadhani, uelewa mdogo nao unachangia nchi sasa kuwa ya majungu na ushabiki usiyo na tija. Hivi Salva anasakamwa kwa sababu ni msemaji wa Ikulu au kwa sababu yuko katika nafasi ambayo wengi waliimezea mate na hawakuipata?
Hivi kuna haja yoyote ya kumjibu Lema, yule si naye ni kama amechanganyikiwa? Nadhani inatokana na ukweli kwamba atakosa posho za vikao vya bunge ndiyo maana anaamua kutjipatia posho hizo kupitia majukwaa.
Kama wanafikiri kwa kutumia jina la Mayor wa Darisalamu watamjibu Lema. Na ikitokea wakimjibu tu lazima Lema apasue kilichojiri kwenye kikao chao cha Oysterbei.
Wakinyamaza wamemuogopa, wakimjibu wanadhihirisha aibu ya kumnyang'anya ubunge.
Sasa mkuu unayefanya kazi jikoni fanya mchakato unitumie namba yako nikupatie sumu ya panya uweke kwenye msosi wa mweshimiwa
Mkuu wa mawasiliano na
habari ni mwandishi Salva Rweyemamu,wanaojua kazi ya RWEYEMAMU wakati
mtandao ukijiandaa kwenda Ikulu watakumbuka mchango wake mkubwa ulikuwa
kusifia kichwa cha nazi na kuchafua wagombea wazalendo kwa kadiri
ilivyowezekana.
Kwa ajili hiyo ukiangalia press release zote za Salva hutakosa maneno
aina ya majitaka au mipasho au dalili za ukosefu wa mamlaka ya
kimaadili.
Mliona utetezi dhidi ya suti tatu,au dhidi ya tuhuma za awali za Lema
dhidi ya Ikulu?
mkingoja jibu la msingi kwa Salva mtangoja sana....chambilecho
Mkapa!