Nilichogundua kwenye uzi huu ni kwamba
Mwanadiwani unajaribu kujibu mashambulizi kwa jazba ktk kila post
Umesahau kitu kimoja tu.
SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU
wakati binadamu tunapanga mipango yetu
Mwenyezi mungu huwa na mipango yake ndani ya mipango yetu.