technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,554
- 57,849
Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe
Iko wapi NETO? Hii nchi ukiwa na njaa na tamaa huwezi kufika popote!!
Iko wapi NETO? Hii nchi ukiwa na njaa na tamaa huwezi kufika popote!!
Ahaaa !!!Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe
Iko wapi NETO? Hii nchi ukiwa na njaa na tamaa huwezi kufika popote!!
Kwa walimu hawa . Waliopewa vishkwambi vya kichinaViongozi waliitwa Dodoma wakainhia mitini, walianza kuwindwa wakakamatwa huko geita wakapotea.
NETO siyo waajiriwa wa ccm. Wao ni non-employee teacher organization.Kwa walimu hawa . Waliopewa vishkwambi vya kichina
Hakuna namna wanaweza kudai chochote
Hitaji lao halikuwa kubadilisha mifumo bali kuoata ajira. Wakipata wananyamzaNETO siyo waajiriwa wa ccm. Wao ni non-employee teacher organization.
Waliitwa Dodoma wazungumze na Simbachawene hawakujitokeza, wakaanza kutafutwa viongozi wakadakwa huku Geita Neto ikafa, hata ajira hawakupata.Hitaji lao halikuwa kubadilisha mifumo bali kuoata ajira. Wakipata wananyamza
Asili ya ccm ni kuwatia watu uwogaWaliitwa Dodoma wazungumze na Simbachawene hawakujitokeza, wakaanza kutafutwa viongozi wakadakwa huku Geita Neto ikafa, hata ajira hawakupata.
Ndivyo madikteta wana oparate dunia nzima.Asili ya ccm ni kuwatia watu uwoga