Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,794
- 47,495
Beba gun mzee baba mzee mama hata kama ni toy gun mbele kwa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima mzee babaNa hasa kama wewe ni profesa unaenda kuhojiwa na kibajaji na wenzake ccm
Mzee baba ulifanya vyema sanaI didi this somewhere, baada ya kumaliza mahojiano nikawaambia, kuwa yote yaliyosemwa hapa yamerekodiwa. Hawajaniita tena mpaka leo.
Hizi mbinu naona kama zimelenga kumsaidia, atapita hapa.Prof. Asad anawakati mgumu sana. Ni heri asiende
Hata kama ile inayotoa majiBeba gun mzee baba mzee mama hata kama ni toy gun mbele kwa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha mbinu zako nimezipenda au unakuja na packed lunch kabsaHakikisha usigonge msosi hata kama ni kuku mzima wa kuchoma, kitimoto rost safi, biriani kuku, mbuzi choma hakikisha unameza mate tu na kunusa tu harufu ila usijaribu kuweka mdomoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hiyo mkuu bali iwe nyeusi kama ile waliyitumia majambazi kumtisha mzee Yusufu na mke wake bebe tu, maana kujiaanda ni bora zaidi kuliko kustukizwa
Wakati wanasema tumemaliza mazungumzo muda wa msosi unachofanya unavuta mfuko unatoa hot pot na kijiko wanashangaa mzee baba umekuja na wali maharagwe na chuiz la nyama unagonga,
kwaheriWakati wanasema tumemaliza mazungumzo muda wa msosi unachofanya unavuta mfuko unatoa hot pot na kijiko wanashangaa mzee baba umekuja na wali maharagwe na chuiz la nyama unagonga,
Sent using Jamii Forums mobile app
Asije tandikwa fimbo ya ng'ombe akazimia kama yule kada wa KONGWA.Uvae na helmeti kama aliyekuita ana historia ya kutandika watu fimbo za kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiondoke njoo hapa, zitakusaidia pia wakati unakutana na yule Ex boyfriend wako
hahahhaahhhahahh mkuu nimecheka kwa sautiUvae na helmeti kama aliyekuita ana historia ya kutandika watu fimbo za kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Masai dada nakuona mkuu upo, ulipotea.hahahhaahhhahahh mkuu nimecheka kwa sauti
Ndio yeye aliesema kile Sijui nini nini hakina dira afu akaitwa Dodoma?Nimemkumbuka ghafla Hayati Horace Kolimba
Ndio yeye aliesema kile Sijui nini nini hakina dira afu akaitwa Dodoma?