Ikiwa mtu ana shari na wewe kisha akakuita kibabe kwenye mahojiano, ukienda chukua tahadhari zifuatazo:

BekaNurdin

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
2,267
2,041
Ikiwa mtu ana shari na wewe kisha akakuita kibabe kwenye mahojiano, ukienda chukua tahadhari zifuatazo:

1. Wakati wa kusalimiana hakikisha usigusane na mtu au watu hao, transfer ya nguvu za kiroho (-ve au +ve) ni effective sana kwa kugusana

2. Kiti ulichowekewa kukalia kikwepe

3. Maiki uliyowekewa kutumia ikimbie

4. Maji ya kunywa, chai, vitafunwa, nk. ulivyowekewa usitie mdomoni

5. Muda wote hakikisha uko na mlinzi unayemwamini

Yangu ni hayo tu na kama kuna mwenye nyongeza atupie!
 
Ikiwa mtu ana shari na wewe kisha akakuita kibabe kwenye mahojiano, ukienda chukua tahadhari zifuatazo:

1. Wakati wa kusalimiana hakikisha usigusane na mtu au watu hao, transfer ya nguvu za kiroho (-ve au +ve) ni effective sana kwa kugusana

2. Kiti ulichowekewa kukalia kikwepe

3. Maiki uliyowekewa kutumia ikimbie

4. Maji ya kunywa, chai, vitafunwa, nk. ulivyowekewa usitie mdomoni

5. Muda wote hakikisha uko na mlinzi unayemwamini

Yangu ni hayo tu na kama kuna mwenye nyongeza atupie!
Kwa hiyo hapo kuwakomesha dawa yake ni kubeba kiti chako, mic, chai, vitafunwa na maji kutoka nyumbani kwako. Au mahojiano yafanyike kwa video conference.
 
Ikiwa mtu ana shari na wewe kisha akakuita kibabe kwenye mahojiano, ukienda chukua tahadhari zifuatazo:

1. Wakati wa kusalimiana hakikisha usigusane na mtu au watu hao, transfer ya nguvu za kiroho (-ve au +ve) ni effective sana kwa kugusana

2. Kiti ulichowekewa kukalia kikwepe

3. Maiki uliyowekewa kutumia ikimbie

4. Maji ya kunywa, chai, vitafunwa, nk. ulivyowekewa usitie mdomoni

5. Muda wote hakikisha uko na mlinzi unayemwamini

Yangu ni hayo tu na kama kuna mwenye nyongeza atupie!
Kweli walahi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom