kyene kyaka
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 318
- 318
Habari wana JF,
Narudi Dar kutoka Zanzibar katika biashara zangu na nimeweza kukaa hapo zaidi ya wiki tatu na kuyaona mambo mengi na kuyagundua pia mengi ambayo ni vizuri nika share na ndugu zangu muijue Zanzibar ya sasa ilivo.
Zanzibar tangu uchaguzi wa mwaka 2015 pale Jecha alipofuta matokeo mpaka sasa bado hapajatulia ingawa ukiwa mgeni huwezi jua hilo mapema mpaka ukishakaa katika maskani zao ndo utajua yaani hata Serikali haiishi vikao vya kuleta umoja mana hata wenyewe kwa wenyewe yaani mtu wa CUF na CCM hawapendan mtaani.
Ni sehemu ambayo waziri anaweza kutembea mtaani, sokoni, madukani na kukaa maskani kama mtu wa kawaida bila hata kushangawa sana na watu kama bongo, mfano siku nipo maskani moja mtaa wa Kikwajuni maskani inaitwa Hasada kwa Shekh Lifati tumekaa na Prof. Makame, Mbarawa bila hata shobo nae sema mimi mbongo kidogo ndo nilileta shobo mana tunajijua vizuri kwa wakubwa.
Utashangaa mawaziri na majaji wa huku Tanganyika wanatembelea Vx V8 kule Zanzibar waziri na majaji magari yao ni surf, hyundai na fortuner no mbwembwe. Watu wa bara wengi siku hizi wanaenda kupandia ndege airport ya Zanzibar kumbe kule price ya ndege kwenda nchi za Kiarabu ni rahisi kuliko huku mfano Dubai.
Katika suala la michezo, basketball ni mchezo unaopendwa na wazanzibar kuliko mchezo mwingine wowote na una viwanja vingi hapo Zanzibar na ushindani mkubwa.
Maalim Seif ni mwanasiasa anaependwa kuliko wote nchi ile hata ukikaa maskan za CCM wanasema hilo na wanamhusudu sana.
Vijana wengi kazi yao kubwa ni ubaharia na wanazijua nchi nyingi sana hapa duniani kuna mzee mmoja anaitwa Babu Ali ndo mwenye kampuni inaitwa Danaous inayoajiri vijana Mabaharia kutoka pande zote Zanzibar na ana heshima kubwa Zanzibar kutoka kwa vijana kuliko hata viongozi wao.
Mtu wa Zanzibar akikutukana tusi kubwa na maarufu kwao ni kukuitwa "HANISI"wewe, ila ukwel upo mana mahanisi wengi.
Familia yoyote yenye watoto watatu au wawili wa kiume mmoja si riziki au utakuta baba si riziki.
Familia yoyote mtoto wa kiume analindwa zaidi kuliko wa kike ili asiharibiwe yaani kuliwa "mini kabang"
Zanzibar magay huvaa nguo za kike kutengeneza nywele za kike kichwan (mawigi) mf kuna gay anaitwa Sabri Bachan maarufu pale mitaa ya Kikwajuni Golf club.
Siku ya Alhamisi utakutana na dada zetu wengi wa huku bara katika boti za Kilimanjaro wanaenda Zanzibar, kumbe kule biashara inaanza Ijumaa na kumalizika Jumapili then wanageuka bongo J'tatu asubuhi ndo mana siku hizi hawapo sana Sinza Kinondoni Buguruni na hata Tabata wote weekend wanakuwa Zenji kukiuza.
Zanzibar ni nchi ya kipekee vijana wakikosa meli ya kufanyia kazi yani ubaharia wanashinda maskani kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Wanawake wa Zanzibar wale wavaa hijab au nikabu ni warahisi sana kulika tofauti na tunavowaona huku bara. mf nishawavua watatu bila hata kutumia msuli wowote.
Wanawake wengi wa kizanzibar wanatoa "mini kabang"na niliambiwa kuwa wako vizuri sana katika mapenzi ya wenyewe kwa wenyewe.
Club za Zanzibar ku bang na shoga ni kitu cha kawaida sana mfano nenda club yoyote pale.
Chakula kikubwa kwa wageni ni chipsi pizza na ubwabwa wa Mbeya na bismati
Zanzibar pekee huitwi tajiri bila kuwa na pikipiki ya vespa au click au honda si ajabu kuona bakhressa kuwa na vespa ndani.
Zanzibar pekee mkienda watu wawili kutongoza demu mkali mmoja akawa na gari mwingine na click (pikipiki) ni rahisi wa pikipiki kumng'oa demu mana ndo wanapenda wanawake wa kule.
Zanzibar hotel zao guest na lodge ni ghali sana kufananisha na huku kwetu bila booking unaweza kukosa pa kulala.
Zanzibar wana ugonjwa wa kupenda kuzipamba gari zao vibaya mno kwa kuweka taa za ajabu ajabu na hapo ndan sasa manukato utakimbia.
Zanzibar watu wake wanaridhika haraka na walichonacho mana sio watafutaji sana, wenyewe kauli yai utasikia kimfaacho mtu chake bwana.
Zanzibar salam kubwa si kwa mwanamke au mwanaume ni asalaam aleykum
.
.
.
Samahan kwa mpangilio huu mimi sio muandishi wa habar ko utaelewa hivohivo
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une.
Narudi Dar kutoka Zanzibar katika biashara zangu na nimeweza kukaa hapo zaidi ya wiki tatu na kuyaona mambo mengi na kuyagundua pia mengi ambayo ni vizuri nika share na ndugu zangu muijue Zanzibar ya sasa ilivo.
Zanzibar tangu uchaguzi wa mwaka 2015 pale Jecha alipofuta matokeo mpaka sasa bado hapajatulia ingawa ukiwa mgeni huwezi jua hilo mapema mpaka ukishakaa katika maskani zao ndo utajua yaani hata Serikali haiishi vikao vya kuleta umoja mana hata wenyewe kwa wenyewe yaani mtu wa CUF na CCM hawapendan mtaani.
Ni sehemu ambayo waziri anaweza kutembea mtaani, sokoni, madukani na kukaa maskani kama mtu wa kawaida bila hata kushangawa sana na watu kama bongo, mfano siku nipo maskani moja mtaa wa Kikwajuni maskani inaitwa Hasada kwa Shekh Lifati tumekaa na Prof. Makame, Mbarawa bila hata shobo nae sema mimi mbongo kidogo ndo nilileta shobo mana tunajijua vizuri kwa wakubwa.
Utashangaa mawaziri na majaji wa huku Tanganyika wanatembelea Vx V8 kule Zanzibar waziri na majaji magari yao ni surf, hyundai na fortuner no mbwembwe. Watu wa bara wengi siku hizi wanaenda kupandia ndege airport ya Zanzibar kumbe kule price ya ndege kwenda nchi za Kiarabu ni rahisi kuliko huku mfano Dubai.
Katika suala la michezo, basketball ni mchezo unaopendwa na wazanzibar kuliko mchezo mwingine wowote na una viwanja vingi hapo Zanzibar na ushindani mkubwa.
Maalim Seif ni mwanasiasa anaependwa kuliko wote nchi ile hata ukikaa maskan za CCM wanasema hilo na wanamhusudu sana.
Vijana wengi kazi yao kubwa ni ubaharia na wanazijua nchi nyingi sana hapa duniani kuna mzee mmoja anaitwa Babu Ali ndo mwenye kampuni inaitwa Danaous inayoajiri vijana Mabaharia kutoka pande zote Zanzibar na ana heshima kubwa Zanzibar kutoka kwa vijana kuliko hata viongozi wao.
Mtu wa Zanzibar akikutukana tusi kubwa na maarufu kwao ni kukuitwa "HANISI"wewe, ila ukwel upo mana mahanisi wengi.
Familia yoyote yenye watoto watatu au wawili wa kiume mmoja si riziki au utakuta baba si riziki.
Familia yoyote mtoto wa kiume analindwa zaidi kuliko wa kike ili asiharibiwe yaani kuliwa "mini kabang"
Zanzibar magay huvaa nguo za kike kutengeneza nywele za kike kichwan (mawigi) mf kuna gay anaitwa Sabri Bachan maarufu pale mitaa ya Kikwajuni Golf club.
Siku ya Alhamisi utakutana na dada zetu wengi wa huku bara katika boti za Kilimanjaro wanaenda Zanzibar, kumbe kule biashara inaanza Ijumaa na kumalizika Jumapili then wanageuka bongo J'tatu asubuhi ndo mana siku hizi hawapo sana Sinza Kinondoni Buguruni na hata Tabata wote weekend wanakuwa Zenji kukiuza.
Zanzibar ni nchi ya kipekee vijana wakikosa meli ya kufanyia kazi yani ubaharia wanashinda maskani kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Wanawake wa Zanzibar wale wavaa hijab au nikabu ni warahisi sana kulika tofauti na tunavowaona huku bara. mf nishawavua watatu bila hata kutumia msuli wowote.
Wanawake wengi wa kizanzibar wanatoa "mini kabang"na niliambiwa kuwa wako vizuri sana katika mapenzi ya wenyewe kwa wenyewe.
Club za Zanzibar ku bang na shoga ni kitu cha kawaida sana mfano nenda club yoyote pale.
Chakula kikubwa kwa wageni ni chipsi pizza na ubwabwa wa Mbeya na bismati
Zanzibar pekee huitwi tajiri bila kuwa na pikipiki ya vespa au click au honda si ajabu kuona bakhressa kuwa na vespa ndani.
Zanzibar pekee mkienda watu wawili kutongoza demu mkali mmoja akawa na gari mwingine na click (pikipiki) ni rahisi wa pikipiki kumng'oa demu mana ndo wanapenda wanawake wa kule.
Zanzibar hotel zao guest na lodge ni ghali sana kufananisha na huku kwetu bila booking unaweza kukosa pa kulala.
Zanzibar wana ugonjwa wa kupenda kuzipamba gari zao vibaya mno kwa kuweka taa za ajabu ajabu na hapo ndan sasa manukato utakimbia.
Zanzibar watu wake wanaridhika haraka na walichonacho mana sio watafutaji sana, wenyewe kauli yai utasikia kimfaacho mtu chake bwana.
Zanzibar salam kubwa si kwa mwanamke au mwanaume ni asalaam aleykum
.
.
.
Samahan kwa mpangilio huu mimi sio muandishi wa habar ko utaelewa hivohivo
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une.