Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,048
- 165,642
Kumbe inatumia CVT pia? Vipi cvt yake haina shida kama za nissan?View attachment 3271483
MAZDA CX 5
Cc 2000
Injini hii inakuja na technologia ya SKYACTIV
ambayo hufanya kazi kama vvti ,lakin ni zaidi ya vvti na kuifanya itumie mafuta machache kwa mwendo mrefu na kutoa nguvu ilio kusudiwa
Full tank nilita 54
Inatumia km 14.2 kwa lita moja ,
SKYACTIV G Ina tumia oil 0W-20/5W-30 lita 4.2 na top ni lita 4.5 sasa wewe weka lita 5 kama hujaipark hii gari maana vyuma vitasagika
Hydraulic lita 7.8 ya Mazda
Inagia 6 automatic
CVT
Inachanganya kutoka speed 0-100 kwa sekunde 10.2
Yani inatumia sekunde 10 kutoka speed 0 mpaka mia 100
Break zake ni za technologia ya hali ya juu ukiacha na na ABS ambayo wengi tuna ifahamu kuna vitu vipo humu ambavyo ni
(EBD) Electric Breakforce. Distribution
Wakati unaendesha gari hii ikiwa una kanyaga break mfumo huu kazi yake niku hakikisha kuwa hakuna tairi ina kamata break Zaid ya nyingine
(CBC) Cornering Break Control
Huu ni mfumo ambao uligunduliwa na mainjinia wa kampuni ya BMW ndio wakawauzia formula Mazda
Wakati unaendesha gari ilikata kona kwenye kila taifa kuna sensor ambayo kazi yake nikufuatilia tair hasa za mbele kuhakikisha kuwa hakuna inayo teleza kuikanyaga break kwenye kona gari haiwezi dondoka au kuhama barabara kwa ku drift
EBA....Electronic Break Assist
Hii hufanya kazi yakuhisi pale unapo simama ghafla huku zaidi kuappy nguvu kwa wingi na gari husimama ndani ya sekunde
Gari hii iko juu kuifanya iweze kupita hata katika sehem zenye changamoto
Speed yake ni 180 maximum speed na top speed yake ni 200
Gia box yake ina clutch mbili tu pamoja na drive chain ambayo huipa mzunguko mkali wakati iko kwenye mwendo na hubadilika shep kulingana na mwenendo
Gari hili ni SUV
milango 5 kama uwezo wa kubeba kg 500
Haina shida kabisaKumbe inatumia CVT pia? Vipi cvt yake haina shida kama za nissan?
Unaitumia au unasimuliwa ukatusimulia?Haina shida kabisa
Nasubiri taarifa zaidi kutoka kwa The master story teller GlennUkisimuliwa taarifa zaidi utusimulie tena
Gari nzuri sana na ipo top five ya magari yanayonunuliwa kwa wingi bongo,View attachment 3271483
MAZDA CX 5
Cc 2000
Injini hii inakuja na technologia ya SKYACTIV
ambayo hufanya kazi kama vvti ,lakin ni zaidi ya vvti na kuifanya itumie mafuta machache kwa mwendo mrefu na kutoa nguvu ilio kusudiwa
Full tank nilita 54
Inatumia km 14.2 kwa lita moja ,
SKYACTIV G Ina tumia oil 0W-20/5W-30 lita 4.2 na top ni lita 4.5 sasa wewe weka lita 5 kama hujaipark hii gari maana vyuma vitasagika
Hydraulic lita 7.8 ya Mazda
Inagia 6 automatic
CVT
Inachanganya kutoka speed 0-100 kwa sekunde 10.2
Yani inatumia sekunde 10 kutoka speed 0 mpaka mia 100
Break zake ni za technologia ya hali ya juu ukiacha na na ABS ambayo wengi tuna ifahamu kuna vitu vipo humu ambavyo ni
(EBD) Electric Breakforce. Distribution
Wakati unaendesha gari hii ikiwa una kanyaga break mfumo huu kazi yake niku hakikisha kuwa hakuna tairi ina kamata break Zaid ya nyingine
(CBC) Cornering Break Control
Huu ni mfumo ambao uligunduliwa na mainjinia wa kampuni ya BMW ndio wakawauzia formula Mazda
Wakati unaendesha gari ilikata kona kwenye kila taifa kuna sensor ambayo kazi yake nikufuatilia tair hasa za mbele kuhakikisha kuwa hakuna inayo teleza kuikanyaga break kwenye kona gari haiwezi dondoka au kuhama barabara kwa ku drift
EBA....Electronic Break Assist
Hii hufanya kazi yakuhisi pale unapo simama ghafla huku zaidi kuappy nguvu kwa wingi na gari husimama ndani ya sekunde
Gari hii iko juu kuifanya iweze kupita hata katika sehem zenye changamoto
Speed yake ni 180 maximum speed na top speed yake ni 200
Gia box yake ina clutch mbili tu pamoja na drive chain ambayo huipa mzunguko mkali wakati iko kwenye mwendo na hubadilika shep kulingana na mwenendo
Gari hili ni SUV
milango 5 kama uwezo wa kubeba kg 500
30m to 35mUmesahau bei yake
Sifa ya vanguard ni sawa na rav 4 kill time hakuna kipya paleGari nzuri sana na ipo top five ya magari yanayonunuliwa kwa wingi bongo,
Swali: ivi vanguard ina nini cha kipekee kuifanya iwe ghali sana pengine kuliko hata Mazda c x5??
Duet zipo? Nahisi zilipotea na VW BeetleSisi wa vi-Duet ngoja tukae kimya kwanza
Vanguarg ni Kili Time iliyochangamshwaSifa ya vanguard ni sawa na rav 4 kill time hakuna kipya pale