Igunga: Sikubali matokeo

ukubali usikubali, CCM inasonga mbele. Wewe utabaki na upuuzi wako.
 
Uchambuzi mzuri! Hii inchi inasikitisha kwakweli; yaani wameona watz wote ni wajinga au hawana kitu wanachoweza fanya!
 
Aisee you must be genious? hilo nalo neno linahitaji tafukuri kwa mgombea wa CUF?


Mkuu hakuna cha mungu yupo hama hayupo mungu siku zote yupo,kubali kushindwa cha msindi cdm jipange vyema l
kisera mbele ya wananchi na si kulalamika hovyo bila sababu za msingi
 
Salama2015, You have proved that you are really a great thinker. Kwa uchambuzi uliouweka, ni yule tu ambaye Mungu wake ni tumbo, na akili zake ziko tumboni, anayewaza kula na kushiba tu, ndiye atakayepinga uchambuzi wako.

Asante, you have said it all.
 
sasa hlkpa igunga basi mtazisikia kwenye tv tu watu wamesha chukua vyao mapema sasa wanapanga mipango na matumizi
 
Mkuu sababu ya kwanza siku zote ndo janja ya Magamba.
hata uchaguzi mkuu ilitumika hiyo kuwakatisha tamaa watu kwa kuhamishwa vituo na matokeo uliyaona.
toka 20mil mpaka 8mil ndo ilipiga kura.
na waliokomaa mpaka kikaeleweka nao waka wachakachua pia.
 
Saidia familia yako ile, ivae, isome, na ilale pazuri mawazo mbonyeo hayatasadia, lawama mlaumu aliyekuleta duniani siasa haikusaidii, ni maneno tu haya hata ukikata mdomo yatabakikatika mawazo
una umri gani!??
 
kazi Tuliyo nayo mbele yetu ni kubwa na nzito, tunawajibika kuikabili kunusuru kizazi chetu kitachofuata..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…