JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Kwa kile alichokionyesha pale mahakamani siku ile ya kesi ya uchaguzi,juu ya wananchi pamoja na mbunge wao mh.Godbless lema,hakika kinavunja misingi ya dhana ya polisi jamii ninamnukuu....' hao watu wanaenda wapi kwani kesi inawahusu ? na yeyote atakaye vuka hawa polisi hapa hatakuwa chambo na kuniambia kuwa hata watu wakija maelfu na maelfu mahakamani lazima kesi hii initie kidole ( Zuberi)
Hakutosha bado akaonyesha dharau juu ya mamlaka ya sheria inayowaruhusu wananchi kusikiliza kesi mbalimbali.
Baada ya kesi kusikilizwa wananchi waliokuwa nje ya chumba cha mahakama wakiwa na hasira huku wakilalamika na kwani kwa mara
nyingine tena OCD Zuberi,..........
amewaita tena wananchi PANYA na akiamuru polisi wa ngazi ya chini kwa kusema sogezeni hao PANYA nyuma
Natoa hoja hii kwa masikitiko makubwa huku nikimshinikiza IGP Mwema kutatua sintofahamu hii inayoleta chuki dhidi ya raia na polisi.
Polisi na jamii ni kama chicken and egg phenomenon huwezi kuvitenganisha ili jeshi la polisi liweze kufanya kazi vizuri linategemea jamiikwa kiasi kikubwalakini angalizo ni kwamba unaweza kuvitenganisha kwa kutumia chuki,hisia za kisiasa na matusi zinzoaribu misingi ya ukweli.
JOB SEKEER.
Hakutosha bado akaonyesha dharau juu ya mamlaka ya sheria inayowaruhusu wananchi kusikiliza kesi mbalimbali.
Baada ya kesi kusikilizwa wananchi waliokuwa nje ya chumba cha mahakama wakiwa na hasira huku wakilalamika na kwani kwa mara
nyingine tena OCD Zuberi,..........
amewaita tena wananchi PANYA na akiamuru polisi wa ngazi ya chini kwa kusema sogezeni hao PANYA nyuma
Natoa hoja hii kwa masikitiko makubwa huku nikimshinikiza IGP Mwema kutatua sintofahamu hii inayoleta chuki dhidi ya raia na polisi.
Polisi na jamii ni kama chicken and egg phenomenon huwezi kuvitenganisha ili jeshi la polisi liweze kufanya kazi vizuri linategemea jamiikwa kiasi kikubwalakini angalizo ni kwamba unaweza kuvitenganisha kwa kutumia chuki,hisia za kisiasa na matusi zinzoaribu misingi ya ukweli.
JOB SEKEER.