Musomakwetu
Member
- Oct 17, 2013
- 64
- 28
Mara kadhaa nimekuwa napita pale alfajiri kwenda kwenye mihangaiko yangu ya kila siku,asbh wanarundikana pale kwenye kona karibu na soko la samaki na kazi wanayofanya ni kugombania magari hususan daladala,traffic hawa wanaongozwa na
kiongozi wao inasemekana ana nyota mbili japo sijabahatika kuziona maana huwa anavaa koti jeusi nadhan kwa lengo la kuficha hizo nyota,viongozi wa polisi fuatilieni pale muone mnavyodhalilishwa na hawa watu wachache
kiongozi wao inasemekana ana nyota mbili japo sijabahatika kuziona maana huwa anavaa koti jeusi nadhan kwa lengo la kuficha hizo nyota,viongozi wa polisi fuatilieni pale muone mnavyodhalilishwa na hawa watu wachache