Eeee wewe Ericford ifm ilianza usajili toka tarehe 12 oct hivyo chelewa chelewa tyu na jtatu wanachuo wanatakiwa pale kukutana na ndo mwisho wa usajili labda kwa wale wa forth round ambao wengi leo tarehe 29 tumewatumia meseji via number yetu ya airtel so nenda chuoni ifm hata kesho ukachukue join instruction na uanze usajili hongera kwa kupata chuo