Vijana mkishajipanga basi mniambie niwatafutie rum..kama ifm ckushauri ukae sehem yoyote ile isipokuwa kigambon kwanza cost yake ndogoo tofaut na sehem nyingine pia ukichelew rum zinapanda bei na pia uwezekano na kukusa chumba mkubwa
Vijana mkishajipanga basi mniambie niwatafutie rum..kama ifm ckushauri ukae sehem yoyote ile isipokuwa kigambon kwanza cost yake ndogoo tofaut na sehem nyingine pia ukichelew rum zinapanda bei na pia uwezekano na kukusa chumba mkubwa
Duh hyo kali ya mwaka, c mzima nahc sasa ulichagulia nn mm nadhan u just showing off kua umechaguliwa bt ur comment inaonesha dhahiir sio kwel, na kama ni kwel basi umerogogwa maana hata chizi hwez ongea huo upuuzi
Hahahahahah kijana ana mbwembwe na yeye pi kachaguliwa ifm ila anaona elimu haina issue hapa duniani....huyu anaonekana hata form 4 haijui form six sio kwa kichwa hiki
Hahahahahah kijana ana mbwembwe na yeye pi kachaguliwa ifm ila anaona elimu haina issue hapa duniani....huyu anaonekana hata form 4 haijui form six sio kwa kichwa hiki
Pana kazi nackia hatari, mm nlipataga certificate on IT bt nkabadili maamuz nkaona bora nipige six kwnza then nirud n namshukuru Mungu nimechaguliwa sasa kusoma degree mwaka huu so nshapiga gape wale wote ambao ngeingia nao diploma 2 this year.
Pana kazi nackia hatari, mm nlipataga certificate on IT bt nkabadili maamuz nkaona bora nipige six kwnza then nirud n namshukuru Mungu nimechaguliwa sasa kusoma degree mwaka huu so nshapiga gape wale wote ambao ngeingia nao diploma 2 this year.
Hahaaaa kijana wangu mwaka wakwanza tuu naingia pale ifm nikakutana na jamaa anaitwa igakinga anafundisha law...aisee nlikiona chuo kichungu ndani ya wiki mbili alitaka kunifukuza chuo kwa kosa ambalo halielewek...bt thanks nasubir joh mwezi 11
Hahaaaa kijana wangu mwaka wakwanza tuu naingia pale ifm nikakutana na jamaa anaitwa igakinga anafundisha law...aisee nlikiona chuo kichungu ndani ya wiki mbili alitaka kunifukuza chuo kwa kosa ambalo halielewek...bt thanks nasubir joh mwezi 11